Mpangaji wa majengo ya hospitali hataki kuondoka licha ya kushindwa kulipa pesa ya pango ya miezi sita na mkataba ulisha isha.

Mpangaji wa majengo ya hospitali hataki kuondoka licha ya kushindwa kulipa pesa ya pango ya miezi sita na mkataba ulisha isha.

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Client wetu ana omba ushauri jinsi ya kumuondoa mpagaji wake wa majengo yake ya hospitali, alisha wapa samasi ya miezi miwili kuondoka ila bado hawataki kuondoka na pesa hawalipi

Anaomba ushauri wa njia nyepesi ya kumuondoa kwasbb anataka kufanya hiyo biashara mwenyewe, wenye uzoefu wa kisheria wa hali kama hiyo tafadhali mpe ushauri aone jinsi ya kumuondoa isio kua na madhara makubwa.
 
Dadeki kuna wenye nyumba,unakuta anakupangisha,unafungua biashara,ikishamiri anakuletea zengwe,kodi yako hataki na anataka uhame aifanye hiyohiyo biashara,baada ya kuona wewe unapiga pesa sana.
Anyway,kama ni kweli,waende hata serikalini,bilashaka kuna viongozi eneo walilopo.
 
Dadeki kuna wenye nyumba,unakuta anakupangisha,unafungua biashara,ikishamiri anakuletea zengwe,kodi yako hataki na anataka uhame aifanye hiyohiyo biashara,baada ya kuona wewe unapiga pesa sana.
Anyway,kama ni kweli,waende hata serikalini,bilashaka kuna viongozi eneo walilopo.
Hapana sio hivo hao wameshindwa kulipa pesa za miezi sita kwasbabu jlijenga hospitali yao mahara pengine ila imeshindwa ku-pick.
 
Client wetu ana omba ushauri jinsi ya kumuondoa mpagaji wake wa majengo yake ya hospitali, alisha wapa samoni ya miezi miwili kuondoka ila bado hawataki kuondoka na pesa hawalipi

Anaomba ushauri wa njia nyepesi ya kumuondoa kwasbb anataka kufanya hiyo biashara mwenyewe, wenye uzoefu wa kisheria wa hali kama hiyo tafadhari mpe ushauri aone jinsi ya kumuondoa isio kua na madhara makubwa.
Pamoja na kuandika andika visredi vingi neno tafadhali linakushinda!
 
Pamoja na kuandika andika visredi vingi neno tafadhali linakushinda!
Nadhani ni error ya kawaida sorry. ila naomba utoe ushauri wako, na wakika una uzoefu huo. huyu mteja wangu ni mshauri ipasavyo kwasbb ananunua hapa dawa karibia za 15m kwa mwaka kwahiyo ni client mzuri sitaki kumpoteza.
 
Yeye kwenye mkataba wa pango, unamruhusu kuendelea kutumia majengo hayo bila kulipia kwa kipindi gani?
Mkataba uliweka awamu za kulipa nne na kiasi, ambazo hajalipia kama mkataba ulivo bainisha awamu ya mwisho hajalipa kabisa, na mkataba una muomba kama ataendelea aseme 12months prior, ambacho hakufanya pia.
 
O.k.
naona kuna mambo huyafaham
~ulisema ni mteja wako Mzuri
~na mwenye jengo anataka kufungua naye hospital kwenye jengo lake.
~pia mpangaji alijenga hospital pengine ikabuma

Kwa hiyo tajiri yako aache wivu na woga, huenda mpangaji wake anapitia changamoto...miezi 2 &6 ya kodi inavumilika.

baada ya hapo anaweza afuate hatua za kisheria kupata stahiki zake.
 
O.k.
naona kuna mambo huyafaham
~ulisema ni mteja wako Mzuri
~na mwenye jengo anataka kufungua naye hospital kwenye jengo lake.
~pia mpangaji alijenga hospital pengine ikabuma

Kwa hiyo tajiri yako aache wivu na woga, huenda mpangaji wake anapitia changamoto...miezi 2 &6 ya kodi inavumilika.

baada ya hapo anaweza afuate hatua za kisheria kupata stahiki zake.
Naona pia hawataki waendelee pale kwa sababu ni wa sumbufu katika malipo.
 
Back
Top Bottom