Msulibasi
JF-Expert Member
- Dec 2, 2014
- 5,947
- 7,939
Muonekano wa mgombea una tija sana kwa wapiga kura. Mavazi ya aina Fulani yatavutia wapiga kura vijana pekee, mengine wazee ,mengine kina mama na Mavazi mengine kina baba.
Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.
Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.
Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.
Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.
Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.
Lissu Kama mgombea urais hapaswi kujiamulia kuvaa atakavyo. Kamati ya kampeni ijikite kumpangia mavazi yatakayo mletea mashabiki na wapiga kura wa jinsia zote na rika zote.
Kuna Mavazi mengine ukivaa wabibi na wababu wanakuona mkorofi au mgomvi.
Wapiga kura si wanachadema pekee kwaiyo sio lazima sana kwa mgombea kutinga makombati na makofia ya Chadema. Avae suti Safi Kama anazovaa kanisani au nguo nyingine Ila aepuke kuvaa nguo zinazoendana na harakati zaidi. Kofia nazo aangalie aina za kofia za kuvaa.
Nafahamu watu watasema cha muhimu Ni ujumbe lakini bado Mavazi yanasaidia au kuharibu.
Mpaka Sasa Lissu naongoza kwa mikutano inayohudhuriwa na wanaume wa umri wa Kati na vijana. Magufuli anaongoza kwa kina mama wa umri mkubwa na wa Kati na kinababa wazee.
Ni jukumu la kampeni meneja na kamati yake kuona namna ya kuvutia kina mama kwa hotuba zinazowagusa directly hata Mavazi. Kina mama na mababu ndio wapiga kura tusiwaamini Hawa vijana wanaoshangilia barabarani wengi hata kadi hawana.