Mpangilio wa gia za aina hii ya gari na maana zake.

Mpangilio wa gia za aina hii ya gari na maana zake.

Marashi

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2018
Posts
2,877
Reaction score
4,522
JF ni chimbo la maguru wa kila kitu. Watu waliochimba na kuchimbua.

Sasa naomba kufahamu maana ya Herufi za gia kwenye magari ya Automatic na matumizi yake. P, R, N, D(1,2,3), L, 2L, M(+,-)

Kwamfano, kuna gari hii aina ya Porsche yenyewe gia yake inafanana kama ilivyo kwenye picha. Sasa naomba kujua Matumizi ya hiyo "M" na "+/-" ni nini hasa.

Na kama kuna msisitizo wowote kuhusu jinsi ya kupandia milima mikali kama Kitonga na Sekenke, kupita kwenye utelezi na kuovertake kwa kutumia gari ya Automatic.
20190228_180318.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
D ni Drive kama kawaida ila ukisogeza iyo knob kwenye - na + unaenda kwenye mfumo wa manual,maana yake ukipeleka juu kwenye + ni kuongeza gear na ukishusha chini kwenye - ni kupunguza gear.
Sasa hapo inakuaje manual wakati hamna clutch?! Au ndio manual za kidigitali?!
 
Angalia mkunjo wa njia ya gearlever D auto ipo kushoto ukitoka Neutral ukisogeza kulia kuna kama kachember (ingekua gx110 ingekua D3 au OD) kwenya hako kachemba gearlever unaweza kuisogaza mbele -ve ay nyuma +ve kupunguza au kuongeza gia haina clutch kama pikipiki ya HONDA 110
Kutoka D kuja M knob inakua kati ya + na - so 1 iko wap hapo na 3 iko wap?

Nlidhani knom ingekua inaingilia M kwa kuanzia kule - basi ingekua na maana kwamba unapopeleka + unapanda gia moja baada ya nyngine

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angalia mkunjo wa njia ya gearlever D auto ipo kushoto ukitoka Neutral ukisogeza kulia kuna kama kachember (ingekua gx110 ingekua D3 au OD) kwenya hako kachemba gearlever unaweza kuisogaza mbele -ve ay nyuma +ve kupunguza au kuongeza gia haina clutch kama pikipiki ya HONDA 110

Sent using Jamii Forums mobile app
Ook na je, does it mean. Unaweza kupandisha gia zaid ya moja? Mfano ukaenda + tena ++ hadi +++ au ni gia moja tu? Au ukishapanda + itajipandisha yenyewe sitakiwi mm kupandisha manually?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana ya manual ni kwamba kadiri unavyopeleka +++ gia zinaongezeka na ukipeleka --- unapangua cheki video hapo juu
Ook na je, does it mean. Unaweza kupandisha gia zaid ya moja? Mfano ukaenda + tena ++ hadi +++ au ni gia moja tu? Au ukishapanda + itajipandisha yenyewe sitakiwi mm kupandisha manually?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom