Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane

Mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Mwenye nyongeza tujuzane

Aristotle J8

Member
Joined
May 29, 2021
Posts
77
Reaction score
95
Mpangilio wa vyeo vya JWTZ

May 16 2017 public

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) (Tanzania People’s Defense Force (TPDF)) ni jeshi lililoanzishwa mnamo mwezi Septemba katika mwaka 1964.

Lilichukua nafasi ya jeshi la Tanganyika Rifles lililorithiwa na ukoloni wa Kiingereza.

Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo hufaywa na JWTZ

- Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
.- Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote
.- Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
  • Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa
  • Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
  • Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa
.- Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa.

Watu wengi hushindwa kuelewa mpangilio wa vyeo ndani ya jeshi hili na hivyo kushindwa kutambua alama fulani inawakilisha mwanajeshi mwenye cheo gani.

Hapa chini ni mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Vyeo vyote vyote vya jeshi viko makundi matano , kila kundi lina maofisa wa ngazi tatu tatu isipokuwa kundi la juu wao wako ngazi nne, Vyeo vyao katika kila kundi vinapishana kwa ngazi moja moja.

Kundi la Juu ni la maofisa wa Juu, wanaitwa Staff Oficers ambalo ni la majeneali na wako wanne.

1. General (Jenerali) – Mkasi na nyota 4, pia gari yake ina nyota 4, anaitwa A Four-Star General.

2. Lieutenant General (Luteni Jenerali)- Mkasi na nyota 3, pia gari yake ina nyota 3, anaitwa A Three-Star General.

3. Major General (Meja Jenerali)- Mkasi na nyota 2, pia gari yake ina nyota 2, anaitwa A Two-Star General.

4. Brigadier General (Brigedia Jenerali)- Mkasi na nyota 1, pia gari yake ina nyota 1, anaitwa A One-Star General.

Kundi la Pili kutoka juu ni la maofisa wakuu, wanaitwa Senior Oficers ambalo wako watatu. 1. Colonel (Kanali)- Ngao na nyota mbili

2. Lieutenant Colonel (Luteni Kanali)- Ngao na nyota moja

3. Major (Meja)- Ngao

Kundi la tatu kutoka juu ni la maofisa wa chini, wanaitwa Junior Oficers ambalo wako watatu

1.Captain (Kapteni)- Nyota tatu
2.First Lieutenant (Luteni)- Nyota mbili
3.Second Lieutenant (Luteni Usu)- Nyota moja

Kundi la nne kutoka juu ni la askari ambao sio maofisa, wa juu, wanaitwa Senior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu .

1.Warrant Officer Class I (Afisa Mteule Daraja la Kwanza)- Ngao mkononi kama saa.

2.Warrant Officer Class II (Afisa Mteule Daraja la Pili)- Mwenge mkononi kama saa.

3.Staff Sergeant (Sajinitaji)- Ngao na mbavu tatu.

Kundi la tano na la mwisho ni la askari ambao sio maofisa, wanaitwa Junior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu
1.Sergeant (Sajenti)- Mbavu tatu

2.Corporal (Koplo)-Mbavu mbili.

3.Lance Corporal (Koplo Usu)- Mbavu moja

Credit: SWAHILI TIMES
 
Kundi la mwisho ni private na kuruti wa serikali.
 
Daah, kuna mpambano mgumu hadi kufika kwenye nafasi ya general.
Ni safari ndefu labda upandishwe vyeo kwa kuruka vyeo kadhaa katikati.

Unajikuta unasafari ya kuvuka viunzi zaidi ya 15
 
Wanajeshi wanavitambi sana sikuiz,,sijui kwa nn
 
sielewi kwanini umeleta huu uzi humu wakati tayari upo humu jamii forums,na heri unge update taarifa umeleta vyeo vile vile vya zamani wakati mambo yalishabadilika huko.
 
Kundi la mwisho ni koplo, koplo usu na private.
Sajent, staff sajent, warrant officer 2 na WO 1 wako kundi moja na wanakula sajent mess.
 
Mpangilio wa vyeo vya JWTZ

May 16 2017 public

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) (Tanzania People’s Defense Force (TPDF)) ni jeshi lililoanzishwa mnamo mwezi Septemba katika mwaka 1964.

Lilichukua nafasi ya jeshi la Tanganyika Rifles lililorithiwa na ukoloni wa Kiingereza.

Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo hufaywa na JWTZ

- Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
.- Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote
.- Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
  • Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa
  • Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
  • Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa
.- Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa.

Watu wengi hushindwa kuelewa mpangilio wa vyeo ndani ya jeshi hili na hivyo kushindwa kutambua alama fulani inawakilisha mwanajeshi mwenye cheo gani.

Hapa chini ni mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Vyeo vyote vyote vya jeshi viko makundi matano , kila kundi lina maofisa wa ngazi tatu tatu isipokuwa kundi la juu wao wako ngazi nne, Vyeo vyao katika kila kundi vinapishana kwa ngazi moja moja.

Kundi la Juu ni la maofisa wa Juu, wanaitwa Staff Oficers ambalo ni la majeneali na wako wanne.

1. General (Jenerali) – Mkasi na nyota 4, pia gari yake ina nyota 4, anaitwa A Four-Star General.

2. Lieutenant General (Luteni Jenerali)- Mkasi na nyota 3, pia gari yake ina nyota 3, anaitwa A Three-Star General.

3. Major General (Meja Jenerali)- Mkasi na nyota 2, pia gari yake ina nyota 2, anaitwa A Two-Star General.

4. Brigadier General (Brigedia Jenerali)- Mkasi na nyota 1, pia gari yake ina nyota 1, anaitwa A One-Star General.

Kundi la Pili kutoka juu ni la maofisa wakuu, wanaitwa Senior Oficers ambalo wako watatu. 1. Colonel (Kanali)- Ngao na nyota mbili

2. Lieutenant Colonel (Luteni Kanali)- Ngao na nyota moja

3. Major (Meja)- Ngao

Kundi la tatu kutoka juu ni la maofisa wa chini, wanaitwa Junior Oficers ambalo wako watatu

1.Captain (Kapteni)- Nyota tatu
2.First Lieutenant (Luteni)- Nyota mbili
3.Second Lieutenant (Luteni Usu)- Nyota moja

Kundi la nne kutoka juu ni la askari ambao sio maofisa, wa juu, wanaitwa Senior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu .

1.Warrant Officer Class I (Afisa Mteule Daraja la Kwanza)- Ngao mkononi kama saa.

2.Warrant Officer Class II (Afisa Mteule Daraja la Pili)- Mwenge mkononi kama saa.

3.Staff Sergeant (Sajinitaji)- Ngao na mbavu tatu.

Kundi la tano na la mwisho ni la askari ambao sio maofisa, wanaitwa Junior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu
1.Sergeant (Sajenti)- Mbavu tatu

2.Corporal (Koplo)-Mbavu mbili.

3.Lance Corporal (Koplo Usu)- Mbavu moja

Credit: SWAHIL TIMES
Private anakuwa ni yule ambaye bado hajapewa cheo chchote
 
Daah, kuna mpambano mgumu hadi kufika kwenye nafasi ya general.
Ni safari ndefu labda upandishwe vyeo kwa kuruka vyeo kadhaa katikati.

Unajikuta unasafari ya kuvuka viunzi zaidi ya 15
Wanaofika huko huwa ni wale walioanzia kwenye vyeo vya juu kuanzia nyota moja au zaidi
 
Mpangilio wa vyeo vya JWTZ

May 16 2017 public

Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) (Tanzania People’s Defense Force (TPDF)) ni jeshi lililoanzishwa mnamo mwezi Septemba katika mwaka 1964.

Lilichukua nafasi ya jeshi la Tanganyika Rifles lililorithiwa na ukoloni wa Kiingereza.

Hizi ni baadhi ya shughuli ambazo hufaywa na JWTZ

- Kulinda Katiba na Uhuru wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
.- Ulinzi wa mipaka ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
- Kufanya mafunzo na mazoezi ili kujiweka tayari kivita wakati wote
.- Kufundisha umma shughuli za ulinzi wa Taifa.
  • Kushirikiana na mamlaka za kiraia katika kutoa misaada ya kibinadamu na uokoaji wakati wa
  • Kutoa huduma mbalimbali za kijamii.
  • Kukuza elimu ya kujitegemea na uzalishaji mali kupitia Jeshi la Kujenga Taifa
.- Kushiriki ulinzi wa amani kimataifa.

Watu wengi hushindwa kuelewa mpangilio wa vyeo ndani ya jeshi hili na hivyo kushindwa kutambua alama fulani inawakilisha mwanajeshi mwenye cheo gani.

Hapa chini ni mpangilio wa vyeo vya JWTZ. Vyeo vyote vyote vya jeshi viko makundi matano , kila kundi lina maofisa wa ngazi tatu tatu isipokuwa kundi la juu wao wako ngazi nne, Vyeo vyao katika kila kundi vinapishana kwa ngazi moja moja.

Kundi la Juu ni la maofisa wa Juu, wanaitwa Staff Oficers ambalo ni la majeneali na wako wanne.

1. General (Jenerali) – Mkasi na nyota 4, pia gari yake ina nyota 4, anaitwa A Four-Star General.

2. Lieutenant General (Luteni Jenerali)- Mkasi na nyota 3, pia gari yake ina nyota 3, anaitwa A Three-Star General.

3. Major General (Meja Jenerali)- Mkasi na nyota 2, pia gari yake ina nyota 2, anaitwa A Two-Star General.

4. Brigadier General (Brigedia Jenerali)- Mkasi na nyota 1, pia gari yake ina nyota 1, anaitwa A One-Star General.

Kundi la Pili kutoka juu ni la maofisa wakuu, wanaitwa Senior Oficers ambalo wako watatu. 1. Colonel (Kanali)- Ngao na nyota mbili

2. Lieutenant Colonel (Luteni Kanali)- Ngao na nyota moja

3. Major (Meja)- Ngao

Kundi la tatu kutoka juu ni la maofisa wa chini, wanaitwa Junior Oficers ambalo wako watatu

1.Captain (Kapteni)- Nyota tatu
2.First Lieutenant (Luteni)- Nyota mbili
3.Second Lieutenant (Luteni Usu)- Nyota moja

Kundi la nne kutoka juu ni la askari ambao sio maofisa, wa juu, wanaitwa Senior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu .

1.Warrant Officer Class I (Afisa Mteule Daraja la Kwanza)- Ngao mkononi kama saa.

2.Warrant Officer Class II (Afisa Mteule Daraja la Pili)- Mwenge mkononi kama saa.

3.Staff Sergeant (Sajinitaji)- Ngao na mbavu tatu.

Kundi la tano na la mwisho ni la askari ambao sio maofisa, wanaitwa Junior NCOs (Non Commissioned Officers) ambalo wako watatu
1.Sergeant (Sajenti)- Mbavu tatu

2.Corporal (Koplo)-Mbavu mbili.

3.Lance Corporal (Koplo Usu)- Mbavu moja

Credit: SWAHILI TIMES
Umeruka Colonel (Kanali)
 
Sawa
Thread Hii Ipo Jukwaa La Intelligence Na Imejadiliwa Kwa Upana Mkubwa Sana
 
Back
Top Bottom