mnyalukoloh
Member
- Jun 8, 2015
- 74
- 31
Matokeo ya zamani hayakua na s wala e ni ABCDF tu
Usiwe unabisha usichokijua.
Umenena vema mkuu,inakuja kuwa tatizo baadae.Umeshindwa kusoma ordinary biology na simple chemistry ya advanced level,utawezaje kusoma complicated systems za mwili wa binadamu?
Haya nayafananisha na yale ya Kampala Univ mtu alosoma HGL anafanya bridging course ya muda mfupi anaenda soma Pharmacy,is utani huu
omba huko imtu na kairuki but vyengine ni majanga tuu maana huwez kupata hukoo
Hapana mkuu....kwa grade za zamani ni dde 5 pts zinatosha kabisa hizo...ila hivyo vyuo hapo ada yake ni ndefu sana so jipange hata kama utapata loan.
... me nawambia anakua mbishi mwache .. mtoto huyo analilia wembe.
Mkuu hapana, mfumo wa matokeo ya zamani wa Kidato cha sita ulikuwa una E na S. Ulikuwa ni A,B,C,D,E,S na F.
Ushauri wangu kwake, asichague kabisa Kampala na Imtu, vyuo hivyo kwa sasa vina mgogoro mkubwa sana na serikali na wanafunzi, mara kadhaa vimefungiwa na serikali na pia wahitimu wake wamekuwa wakati mwingi hawatambuliwi na waajiri hususani serikalini.
Namshauri afuate mtitiriko huu wa ubora katika kuchagua vyuo kwa kozi za MD
1/Muhimbili(MUHAS)
2/KCMC
3/Bugando
4/Kairuki
5/UDOM
6/St.Francis.
Alama za zamani kidato cha sita
A=80-100,
B=75-79,
C=65-74,
D=55-64,
E=45-54,
S=40-44
F=0-39.
alama mpya za kidato cha nne na cha sita
A=75-100,
B+=60-74,
B=50-59,
C=40-49,
D=30-39,
E=20-29
F=0-19.
Kama D Ambayo kwa sasa ni 30-39 zamani ingelikua F.
C kwa grade za zamani angelikua na aidha s kwa maana kama matokeo yake yangeangukia 40~44 au E endapo matokeo angelipata 45~50 sasa ngoja nimpe ufaulu wa juu kwa maana kwamba hizo C alipata 45~50 ambayo zamani ni E kwahiyo phys F chem na bios E Ambapo angelikuwa division 3 point 17 huyu anafaa kuwa daktari kweli si anaweza pasua mgonjwa kichwa tumbo baadala ya mguu. Taaluma ya udaktari ni nyeti dogo nenda ualimu.
Anachokuambia hutu tu C twa mtoa hoja kimsingi ni kwa hisani ya BRN. Lakini kihalisia ni E na S kwa mpangilio wa zamani. Kama ni udaktari ajaribu KIU na IMTU. Vyuo serious havitampokea!Ww jamaa unaonekana mbishi sana...sasa sikia ni hivi according to Tcu;
Zaman Sasa. Pts
A A 5
B B+ 4
C B 3
D C 2
E D 1
S E 0.5
F F 0
Yeye kakwambia kapata CCD ya Brn hajakwambia amepata sijui 60,50,40,30 wala nn,sasa uki compare na zamani unapata DDE....Ukibisha na hapa basi ww utakuwa Milembe na si Molembe tena.