DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Habari ya uzima,
Katika MAISHA kitu muhimu huwa ni mipango au mpango. Katika philosophy huwa tunasema kuwa "life go to the same direction you gotta go with it"
Maana yake maisha huwa ni yale yale tangia zamani au tangia kuwepo kwa binadamu. Ila nikufata njia sahihi za hayo maisha. Ila kilichobadilika ni vitu au vifaa vya nje ambavyo hutumika kuendeshea maisha.
lakini maisha yapo vilevile tangu zamani. Basi baada ya hayo naanza kuelezea kuwa mipango au mpango is key in life. Ukianza kwa kuangalia haya mambo ulipanga kuwa nayo.
Mke wako au mme wako
Kazi unayofanya
Aina ya familia unayomiliki.
Ukiangalia sehemu hizo muhimu ambazo binadamu hutumia zaidi ya robo tatu ya maisha yake ni sehemu ambazo huwa hatukai na kuziingiza katika mipango na ndio sehemu ambazo zinatuumiza Sana , kihisia , kiakili na kiuchumi.
Ukitazama watu wazamani babu zetu lifespan yao ilikuwa juu kuzidi sisi ambao tuna vitu vingi ambavyo vinarahisisha maisha.
Maana yake nini tunaishi bila kuwa na mipango hasa katika sehemu yetu muhimu ambayo tutatumia zaidi ya robo tatu ya maisha yetu.
Tumeoa na kuolewa na watu tusiwaopenda kisa tu tulivutiwa na vitu vyao (material things ) na wengine tulioa mionekano tu hivyo unaishi miaka mingi ukigombana na mwandani wako na furaha hakuna mwisho unakufa mapema life span yako inashuka.
Kazi tunazofanya - wengi tunafanya kazi ili kuyafikia mahitjai ya msingi na sio kwamba Kazi tunazipenda, hivyo MTU anaishi kwa majuto na lawama hana furaha na anachokifanya.
Familia tulizonazo - hapa wengi baada ya kushindwa kufanikiwa hubaki na tumaini la kujitazama kupitia watoto wako uliowazaa kuwa watatoboa maisha na kuwa watu wa maana na mwisho wengi tumepata watoto ambao ukijitazama wewe unajiona na nafuu kuliko wanao.
Hakuna kitu mzazi anaumia anapomuona mwanae anakuwa mlevi kupindukia, malaya, mchipuko, muhuni mzazi anaumia sana hata kama anapesa anabaki kuishi kwa sonona.
Mzazi taswira au picha huwa ipo kwa watoto aliowazaa.
Hitimisho: Neno mpango limebeba dhana nzima ya maisha hivyo mambo ambayo yatachukua sehemu kubwa ya maisha yako usiyafanye kwa kukurupuka jipe muda Sana.
Familia
Kazi
Kuoa/kuolewa.
MTU mwenye mipango mizuri anakuwa na momentum anaanza taratibu katika starting line Ila lazima atakuwa wakwanza katika finish line.
Katika MAISHA kitu muhimu huwa ni mipango au mpango. Katika philosophy huwa tunasema kuwa "life go to the same direction you gotta go with it"
Maana yake maisha huwa ni yale yale tangia zamani au tangia kuwepo kwa binadamu. Ila nikufata njia sahihi za hayo maisha. Ila kilichobadilika ni vitu au vifaa vya nje ambavyo hutumika kuendeshea maisha.
lakini maisha yapo vilevile tangu zamani. Basi baada ya hayo naanza kuelezea kuwa mipango au mpango is key in life. Ukianza kwa kuangalia haya mambo ulipanga kuwa nayo.
Mke wako au mme wako
Kazi unayofanya
Aina ya familia unayomiliki.
Ukiangalia sehemu hizo muhimu ambazo binadamu hutumia zaidi ya robo tatu ya maisha yake ni sehemu ambazo huwa hatukai na kuziingiza katika mipango na ndio sehemu ambazo zinatuumiza Sana , kihisia , kiakili na kiuchumi.
Ukitazama watu wazamani babu zetu lifespan yao ilikuwa juu kuzidi sisi ambao tuna vitu vingi ambavyo vinarahisisha maisha.
Maana yake nini tunaishi bila kuwa na mipango hasa katika sehemu yetu muhimu ambayo tutatumia zaidi ya robo tatu ya maisha yetu.
Tumeoa na kuolewa na watu tusiwaopenda kisa tu tulivutiwa na vitu vyao (material things ) na wengine tulioa mionekano tu hivyo unaishi miaka mingi ukigombana na mwandani wako na furaha hakuna mwisho unakufa mapema life span yako inashuka.
Kazi tunazofanya - wengi tunafanya kazi ili kuyafikia mahitjai ya msingi na sio kwamba Kazi tunazipenda, hivyo MTU anaishi kwa majuto na lawama hana furaha na anachokifanya.
Familia tulizonazo - hapa wengi baada ya kushindwa kufanikiwa hubaki na tumaini la kujitazama kupitia watoto wako uliowazaa kuwa watatoboa maisha na kuwa watu wa maana na mwisho wengi tumepata watoto ambao ukijitazama wewe unajiona na nafuu kuliko wanao.
Hakuna kitu mzazi anaumia anapomuona mwanae anakuwa mlevi kupindukia, malaya, mchipuko, muhuni mzazi anaumia sana hata kama anapesa anabaki kuishi kwa sonona.
Mzazi taswira au picha huwa ipo kwa watoto aliowazaa.
Hitimisho: Neno mpango limebeba dhana nzima ya maisha hivyo mambo ambayo yatachukua sehemu kubwa ya maisha yako usiyafanye kwa kukurupuka jipe muda Sana.
Familia
Kazi
Kuoa/kuolewa.
MTU mwenye mipango mizuri anakuwa na momentum anaanza taratibu katika starting line Ila lazima atakuwa wakwanza katika finish line.