kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 18,585
- 16,780
Wadau, wapenda maendeleo wote!
Kuna mpango maalumu wa kufungua madarasa huru, kila kijiji cha nchi hii, lengo ni kuwaandaa Watanzania wote na ukombozi wa nchi yetu 2015. Tunataka kila mtu aone faida za ukombozi! Waone tofauti ya mwanga na giza..
Amen
Kuna mpango maalumu wa kufungua madarasa huru, kila kijiji cha nchi hii, lengo ni kuwaandaa Watanzania wote na ukombozi wa nchi yetu 2015. Tunataka kila mtu aone faida za ukombozi! Waone tofauti ya mwanga na giza..
Amen