Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja


Toa data kamili. Kafikia mji gani? Kakutana na Mange wapi? Wameongea nini? Usikurupuke tu na porojo zisizo na ushahidi.
 
Umepoteza muda Wako mwingi kwa kuandika uwongo, Alafu cha ajaabu watu woote wameshakujua kuwa wewe ni Uvccm.
tunasema hivi Afe mtu yoyote maarufu Aturudi nyumba tarehe 26/04/2018 kitaeleweka tu.
 
Hahahah kumbuka Mbowe na viongozi wengine wa CDM wapo nje kwa zamana na wanatakiwa kuripoti polis alhamis ya kila wiki,,,na nikudokeze tu wewe mpotoshaji moja ya mashrti ya dhamana ilikua kukabidhi hati ya kusafiria,,,!..
 
Kwahiyo?
 
Wee kabisa USA mfagia vyoo!! unaaandika kama umekula maharage mabichi.
Waambie warudishe ela zetu hawa mabwana zako!!
 
Haya rumekusikia sisi tunajitambua ila kwa kuwa wewe huna shida na upo Marekani (kusadikika) unakula raha tuache sisi yanayotusonga tunayaona
 

Hahahahahaaa!!!nakojoa
LUMUMBA street
Buku 7 kwa siku
Mambo ni [emoji91][emoji91][emoji91]
Code 26042018
 
Mna tuhuma hewa ngapi kwa JPM.
Kama ni tuhuma hewa kwanini anajihami kwa kutoa vitisho kila kukicha?

Angekuwa msafi angekuwa na haja gani ya kuogopa na kutishia maisha ya watu kila siku akishirikiana na hao ma RPC wake?
 
Uongo MTUPU! Hata aibu huna kuja na uzushi wa kiasi hii humu!!!

 
Umemuona mbowe akiwa na Mange, hebu tupatie picha japo mbili tuamini kama ni kweli.
 

Unadhani mao alikuwa anaambatana na kushauriwa na wajinga kama Bashite? alikuwa na Ukanda?
Unamfananisha Mao na mtu asiyeweza kujenga mifumo?
 


hii sio habari, nachokiona ni maoni yako na umeonesha upande wako kuhusiana na huyo Dada anachokifanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…