Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

Aiseee..... TETESI HII KIBOKO.... yaani umemuona MBOWE na MANGE halafu UNASEMA kuwaona kwako ni TETESI....

Kajipange tena...
 
By the way, KINANA ALIPOTUMWA KUTIBIWA NANI ALISEMA KWAMBA NDO ANAENDA? Si walipoona maswali ndo wakajifanya wamemtuma kutibiwa..!!
 
....Mpango mchafu.......
....Maandamano haramu......
....Kuichafua serikali.....
Huu ni upupu na lugha za kujikomba na kujifanya huyaoni maisha halisi walalahoi wanayoishi.
Nataka nikuhakikishie mkuu, chini ya serikali ya ccm Tanzania haitabadilika kwa lolote hata jua lichomozee ardhini lizamie mbinguni!! Acha China ibadilike maana akili za Mao hazikuwahi kufanana na hizi za yule wa jamhuri ya sokomoni.
 
Wanadhalilisha watu wanaoishi USA wengi sana wanajielewa Ila wachache mpo...kama upo USA akili bado imeganda hata ukienda mwezini utakua hivyo hivyo...
 
Kapicha kangenoga zaidi, si unajua tena sisi akina tomaso
 
Mnafiki mkubwa wewe. Imezoea kupaka watu matope. Kuwa na aibu kidogo basi. Undani kwamba sasa hivi yuko chini ya mahakama.
 
Marekani ya Lumumba
 
Uzi bila picha nikujipendekeza sana,kalale mkuu naona ulikua umechoka kuandika maada
 
Mnatafuta kiongozi wakisiasa ili mumvike taji la maaandamano; alafu kama utani mtashangaa kuna people zitaandamana;
 
Ngoja nicheke kihutu kweee kweee kweee kwee uyu aliyeandika atakuwa lemutuz tu uyu haaa haaa maana jamaa akili yake anaijuaga mwenyewe na rafiki yake bashite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…