Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 824
Habari wana jf ni miezi mingi imepita tangu mwaka uanze nmeona nianzishe uzi huu kwa nia njema kabisa ya kuwakumbusha watu mipango na mikakati waliojiwekea kuifanya ndani ya mwaka huu ili mwaka unapoisha tuwe na chakujivunia tumefanya pamoja na hali kua ngumu
Pia nawe kama kuna kitu unamkumbusha yeyote waweza kuongezea ili akamilishe pia kama umekamilisha tayari au unaendelea na mpango wako waweza weka comment hapo chini ili nawengine wajue huo mpango na mahali ulipofikia ili kuweka motivation kwa wengine kuthubutu (hapa naomba tuwe wakweli) kabla mwaka haujaisha
Kwa kuanza yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo watu waliweka mikakati mwaka unavoanza kupitia nyuzi mbalimbali nlizoziona humu nawakumbusha kuendelea .kama bado unaendelea nakupa hongera kwa kuwa mwaminifu katika mipango yako.
NAWAKUMBUSHA WALIOPANGA YAFUATAYO KUKAMILISHA
1kusoma vitabu vingi ndani ya 2017 zaidi ya ilivyokua 2016
2. Kununua kiwanja
3.kupunguza matumizi ya mitandao ya kijamii
4.kuanzisha shughuli binafsi za kiuchumi
5.kuoa
6 kuolewa
7 kuacha puli
8.kuanza kufanya forex
9. kujifunza programming
10.kutafuta kazi
11.kuomba vyuo na mikopo
12.kuacha ulevi
13 kuacha michepuko
14kufuga(mifugo,ndevu,kucha n.k)
15 kutenda mema
16 kumsifu na kumtumikia Mungu
17 kwenda Zimbabwe
18 kununua usafiri
19 kuondoka kwa mzazi na kuanza kujitegemea
20.kuchukua Vodacom premium league VPL
Pia nawe kama kuna kitu unamkumbusha yeyote waweza kuongezea ili akamilishe pia kama umekamilisha tayari au unaendelea na mpango wako waweza weka comment hapo chini ili nawengine wajue huo mpango na mahali ulipofikia ili kuweka motivation kwa wengine kuthubutu (hapa naomba tuwe wakweli) kabla mwaka haujaisha
Kwa kuanza yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo watu waliweka mikakati mwaka unavoanza kupitia nyuzi mbalimbali nlizoziona humu nawakumbusha kuendelea .kama bado unaendelea nakupa hongera kwa kuwa mwaminifu katika mipango yako.
NAWAKUMBUSHA WALIOPANGA YAFUATAYO KUKAMILISHA
1kusoma vitabu vingi ndani ya 2017 zaidi ya ilivyokua 2016
2. Kununua kiwanja
3.kupunguza matumizi ya mitandao ya kijamii
4.kuanzisha shughuli binafsi za kiuchumi
5.kuoa
6 kuolewa
7 kuacha puli
8.kuanza kufanya forex
9. kujifunza programming
10.kutafuta kazi
11.kuomba vyuo na mikopo
12.kuacha ulevi
13 kuacha michepuko
14kufuga(mifugo,ndevu,kucha n.k)
15 kutenda mema
16 kumsifu na kumtumikia Mungu
17 kwenda Zimbabwe
18 kununua usafiri
19 kuondoka kwa mzazi na kuanza kujitegemea
20.kuchukua Vodacom premium league VPL