Mpango wa Elon Musk jinsi atakavyotumia pesa zake akiwa Trilionea wa kwanza duniani

Mpango wa Elon Musk jinsi atakavyotumia pesa zake akiwa Trilionea wa kwanza duniani

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Tajiri namba moja duniani Elon Musk hajaishia hapo kwenye kumiliki utajiri wa $269.8 billion amethibitisha kuwa anataka kuongeza zaidi na kuweka rekodi ya kuwa binadamu wa kwanza ambaye ni TRILIONEA duniani. Elon Musk mwenye umri wa miaka 53, amethibitisha kuwa mpango wake ni kutumia fedha hizo kuwahamishia binadamu kwenye sayari ya Mars.
1727762737318.png
Pia, Soma: Elon Musk anatabiriwa kua Trilionea wa kwanza Duniani ifikapo 2027
461785147_2292564241124883_1872437786200895100_n.jpg
 
Mm mipango yangu nikiwa milionea ni kuhakikisha ma-ex wangu wajue mimi ni nani na watapata tabu sana 🔥
 
Back
Top Bottom