KiuyaJibu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2007
- 848
- 191
Mimi pamoja na mwanasheria wangu niko katika mpango wa kuandaa mashtaka kwa kampuni 02 hapa nchini TZ; na kampuni hizo ni TANESCO na TIGO Tanzania kwa huduma duni/dhaifu na zisizo thamini thamani ya fedha inayolipwa na wateja wake nchini kote.Hii ni katika kulinda haki za wateja kama wao wanavyolinda mali zao.
Hivyo basi, kama hizi kampuni zinanakukera kutokana na utendaji wake wa kazi za kila siku katika kukuhudumia ili kukuza uchumi wa mtu/watu na Taifa kwa ujumla.
Kwa maana hiyo wale wote watakaokuwa tayari kuungana na mimi kusaini hii petition; wathibitishe kwa mawasiliano zaidi:
kiuyajibu@jamiiforums.com/kiuyajibu@facebook.com
Siku zote"umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu"
Hivyo basi, kama hizi kampuni zinanakukera kutokana na utendaji wake wa kazi za kila siku katika kukuhudumia ili kukuza uchumi wa mtu/watu na Taifa kwa ujumla.
Kwa maana hiyo wale wote watakaokuwa tayari kuungana na mimi kusaini hii petition; wathibitishe kwa mawasiliano zaidi:
kiuyajibu@jamiiforums.com/kiuyajibu@facebook.com
Siku zote"umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu"