Mpango wa kukimbia kodi 2025

Mpango wa kukimbia kodi 2025

grandMullah23m

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2017
Posts
245
Reaction score
331
Salaam wanajukwaa...katika pitapita zangu na maongezi na fundi namna ya kuanzisha ujenzi wa msingi,ameniorodhesha mkeka mrefu🥲..ambapo Kuna kipengele cha wall puty/chokaa kg 20..ambayo bei ni 20000@..naomba kujua matumizi yake kwenye hatua za awali za ujenzi wa msingi...
 
Hahaha mmh labda waje wajuzi wa kisasa mi wa zamani kwakweli wall putty ngazi ya msingi ?????😂
 
Salaam wanajukwaa...katika pitapita zangu na maongezi na fundi namna ya kuanzisha ujenzi wa msingi,ameniorodhesha mkeka mrefu🥲..ambapo Kuna kipengele cha wall puty/chokaa kg 20..ambayo bei ni 20000@..naomba kujua matumizi yake kwenye hatua za awali za ujenzi wa msingi...
anatumia kwa ajili ya kuchora sehemu wanazochimba kwa ajili ya Msingi. So jitahidi uchukue ile ya bei ya chini tu
 
Muulize huyo fundi
Salaam wanajukwaa...katika pitapita zangu na maongezi na fundi namna ya kuanzisha ujenzi wa msingi,ameniorodhesha mkeka mrefu🥲..ambapo Kuna kipengele cha wall puty/chokaa kg 20..ambayo bei ni 20000@..naomba kujua matumizi yake kwenye hatua za awali za ujenzi wa msingi...
 
Haya ndo matumiza yako
 

Attachments

  • chokaa.png
    chokaa.png
    962.4 KB · Views: 9
Hiyo ni sawa na kutumia maji ya kununua dukani kuoshea gari wakati maji ya kawaida yapo

Huna haja ya kununua wall putty, nunua gympsum powder yoyote tu hata ya kiwango cha chini, zinauzwaga Tsh 14,000 tu.
Hata majivu yanatosha!! Ubunifu ni kitu cha bure
 
Hiyo ni sawa na kutumia maji ya kununua dukani kuoshea gari wakati maji ya kawaida yapo

Huna haja ya kununua wall putty, nunua gympsum powder yoyote tu hata ya kiwango cha chini, zinauzwaga Tsh 14,000 tu.
Atumie tu kama..roll moja inatosha
 
Hiyo ni sawa na kutumia maji ya kununua dukani kuoshea gari wakati maji ya kawaida yapo

Huna haja ya kununua wall putty, nunua gympsum powder yoyote tu hata ya kiwango cha chini, zinauzwaga Tsh 14,000 tu.
Huko kote mbali, kama mchanga wako wa kujengea una rangi tofauti na rangi ya udongo wa eneo unapotaka kujengea, unatumia tu mchanga huo huo

Unakuta mtu udongo wake ni mweusi/mwekundu lakini bado ananunua poda ya kusetia wakati mchanga anao hapo hapo site
 
Back
Top Bottom