Dennis R Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 267
- 372
Jina naitwa DENNIS YESSE nina miaka 32 elimu bachelor of science economics population and development chuo mzumbe
Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo:
1. Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi
2. Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu
Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
1. Kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja ambavyo vitakia na lengo la ku-export
2. Kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
3. Nitaondoa sektor ambazo sio rasmi kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda laki 1
4. Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka sababu nchi nzima itapangwa kisasa na upya na itakua ni kosa kujenga bila kibali
Kama kisemavyo kichwa cha habari nina nia ya kuwa Rais wa Tanzania, kwanini nimeonyesha nia ni kupitia sababu zifuatazo:
1. Serekali ya ccm imeishiwa mbinu kabisa za kuitoa nchi hapa ilipo mfano imeshindwa kubuni vyanzo vipya vya kodi na hii imepelekea kuongeza tozo na kodi kwa wananchi ambao tayari wana mzigo mkubwa tayari wa kodi na tozo, pia wanakopa sana jambo ambalo sio afya kwa uchumi
2. Upinzani hawana sera mbadala badala yake wameamua kuongea maneno matupu
Nini ntafanya kuitoa nchi hapa ilipo
1. Kwa miaka 10 ntajenga viwanda zaidi ya laki 1 ndio laki moja ambavyo vitakia na lengo la ku-export
2. Kwa mda wa miaka 10 ntaongeza pato jipya lenye thamani ya usd billion 100 na zaidi fahamu hiki ni chanzo kipya
3. Nitaondoa sektor ambazo sio rasmi kama wamachinga, wauza mitumba bodaboda n.k sababu wataajiriwa kwenye hivyo viwanda laki 1
4. Nchi ikiwa na viwanda zaidi ya laki 1 hizi squatters na slum zitaondoka sababu nchi nzima itapangwa kisasa na upya na itakua ni kosa kujenga bila kibali