dtj
JF-Expert Member
- Nov 29, 2014
- 1,333
- 1,379
Kama kichwa kinavyojieleza,
Naomba kuwasilisha nilichosoma kwenye gazeti la nipashe ijumaa ya kwamba serikali imepitisha mpango huo mnamo April 2017.
Maswali.
1. Je kuna mantiki gani kufanya hivi?
2. Wafanyakazi wahaya mashkrika je, hawapo kwenye hatihati kupunguzwa kazi?
Mwisho nikujuwa huu mkakati utafikia mwisho lini rasmi.? Mwenye kujuwa tujuzane.
Naomba kuwasilisha nilichosoma kwenye gazeti la nipashe ijumaa ya kwamba serikali imepitisha mpango huo mnamo April 2017.
Maswali.
1. Je kuna mantiki gani kufanya hivi?
2. Wafanyakazi wahaya mashkrika je, hawapo kwenye hatihati kupunguzwa kazi?
Mwisho nikujuwa huu mkakati utafikia mwisho lini rasmi.? Mwenye kujuwa tujuzane.