Kaka Issue imemtokea mzee wa Kipare!
Nilikuwa sifahamu kwamba mzee Makamba ni Mzee wa Kipare!
Nilikuwa sifahamu kwamba mzee Makamba ni Mzee wa Kipare!
mpare na msambaa hawana tofauti
sema wapare wanapenda sana kesi, kesi na kuku anaweza akauza kiwanja ili amlipe wakili