CHANGAMOTO ZA MGANGA WA KUAGUA
Katika waganga WENYE KAZI kubwa mmoja wapo ni Mganga WA kuag
Mganga huyu ni sawa na mwanajeshi anayetegua mabo
Mtu anayekanyaga bomu na anaomba msaada WA kuteguliwa basi Mganga huyu anaamua kuhatarisha MAISHA yake ilijamii iwe salama licha ya madhara atakayoyapat
Mganga huyu anaweza kutegua bomu na likalipuka wakafa wote pamoja na aliyekanyaga bom
Kama Umewahi Kufanya KAZI ya rambaramba basi utakuwa umejifunza mengi ,katika KAZI ya rambaramba huwezi KUWA peke yako mnakuwa wengi ilimtu akizidiwa mwenzake amsaidi
Mganga huyu anaweza kutegua bomu ila yeye akafa au kujeruhiwa na mkanyaga bomu akawa ha
Mganga huyu pia anaweza kuhairisha kutegua bomu kutokana na uzito WA bom
Dunia isingekuwa salama bila Mgang
Kumbuka asili ni siri,kama aliyekuroga kesha kufa basi kuwa mpol
Tuheshimu waganga Kwa KAZI ngumu wanayoifany
Mbona madaktari wakizungu hamuwalaumu Kwa kushindwa kuwatibu ndugu zetu na kupelekea KIFO ilihali mmetumia mamilioni ya pesa kuwatib
Wakati mwingine mkiona maji ya shingo huko kwenye mahospitali ya wazungu ndo mnarudi kwenye asil
Sasa kama hamjui,kama umepigwa na kitu kizito ukapitia hospital hata ukirudi kwenye asili mzee hutobo
Hiyo inaitwa bye by
Asili kwanza,Kwa mzungu baada
Pia tuheshimu mila na tamaduni zetu Kwa kuacha ya kigen
๐งMwisho
Mganga hatukanwi, hasemwi ovyoovyo, hachokozwi,Hana urafi
๐ Ukiona ulienda Kwa Mganga na mambo yako yamehribika basi Rudi ,kunasehemu umemkosea ๐ญ
๐Ni mimi mtuma majini, uliponipo gusa unase