Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,647
Kwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.