Mkuu kuna jamii zingine usipofika dau wanalotaka, na akipatikana anaefika, anachukua mke na mtoto anakua wake...Hahahaa, ukitia mimba utaona unavyotafutwa[emoji23][emoji23]. Hapo ukienda ukweni unavimba hata mahali una bargain unavotaka
Hahahaa, ukitia mimba utaona unavyotafutwa[emoji23][emoji23]. Hapo ukienda ukweni unavimba hata mahali una bargain unavotaka
Mkuu kuna jamii zingine usipofika dau wanalotaka, na akipatikana anaefika, anachukua mke na mtoto anakua wake...
Eti kama mbuzi, basi wapewe kama SimbaHaya ni mawazo ya vijana ambao wamebahatika kuwa na mahusiano na wanawake warembo alafu chumi zao zinayumba na hawana vipato vya uhakika.......hali ambayo inapelekea kutojiamini........
Wasichojua ni kwamba karne hii hakuna mwanamke anayepewa mimba kama mbuzi.........
si ndo vizuri sasa, hapo jamaa atachapiwa mpaka akome.Mkuu kuna jamii zingine usipofika dau wanalotaka, na akipatikana anaefika, anachukua mke na mtoto anakua wake...
[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]si ndo vizuri sasa, hapo jamaa atachapiwa mpaka akome.
Fanya hivi...Wewe
Me muachwa wee mlalamikie mke kuwa mtoto anataka kufanyiwa zindiko kila mwezi...tumpeleke kwa bibi tena aje na mumewe!!
Sasa mazingaombwe ya huko ni rahisi kubweda. Kiulainiiii..
Mbona atatema mzigo tuu huyo...
Halafu muwekee masharti asimpige mkeo lalamika jata kwa mama yake. Tamka tu kakonda huyu anatakiwa akale bata arusha km mweZi hivi. Utalipia wote! Km akishindwa amrudishe kwao.
Hahahahahahaha I like thisKwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.
Jamaa yangu alijaribu ilo jambo demu anamimba ya mtoto wa tatu bado demu anamwambia bado mda wakumpeleka nyumbani ndio nikafika itimisho juu ya hawa viumbe kuwa kumbe ata siwajui kama nilivokuwa najidanganya.Kwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.
Weza mpa mimba pia akikuona hueleweki mzigo akaendapewa mwingine.Kwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.