Kwa wale wanaume wenzangu mliopo katika mahusiano ya muda mrefu na mnawapenda sana wapenzi wenu na hamtaki kuwapoteza basi tieni mimba hao wachumba zenu kama vishika uchumba mtoto akizaliwa mtajua mtaleaje.
Haya mambo ya kupeleka barua sijui posa sijui nyumbani kwao wanaitambua kwetu wanamjua yameshapitwa na wakati kama hujatia mimba bado uyo sio wako muda wowote wenzako wanaweza kukupikuu.
Ila kweli aisee.. ukidate na mwanamke mzuri.. unahisi kama utaachwa.. so option pekee ni kupiga mimbaHaya ni mawazo ya vijana ambao wamebahatika kuwa na mahusiano na wanawake warembo alafu chumi zao zinayumba na hawana vipato vya uhakika.......hali ambayo inapelekea kutojiamini........
Wasichojua ni kwamba karne hii hakuna mwanamke anayepewa mimba kama mbuzi.........