Mpelelezi Mkuu Kenya: Tulilazimishwa kutengeneza kesi ya Tsh. Bil 140.3 dhidi ya Naibu Rais Gachagua

Mpelelezi Mkuu Kenya: Tulilazimishwa kutengeneza kesi ya Tsh. Bil 140.3 dhidi ya Naibu Rais Gachagua

BARD AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2018
Posts
3,591
Reaction score
8,826
1667041610673.png

Maafisa wa upelelezi katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) walilazimika kumfungulia mashtaka Naibu Rais Rigathi Gachagua kuhusiana na kesi ya ufisadi wa Tsh. Bilioni 140.3, afisa mkuu wa polisi amefichua.

Pia imeelezwa wakati wa kumkamata Gachagua na kufikishwa kortini Julai 26, 2021, uchunguzi ulikuwa haujakamilika na hakukuwa na ushahidi wa maandishi kuunga mkono makosa hayo.

Wakati huo Naibu Rais Gachagua alikuwa Mbunge wa Mathira.

Katika hati ya kiapo iliyosainiwa na msimamizi mkuu wa polisi Kuriah Obadiah, ambaye yuko katika makao makuu ya DCI, alisema maafisa walisukumwa kumkamata na kumshtaki Bw Gachagua kwa uhalifu wa kifedha.

Bw Obadiah, ambaye ni mkuu wa kitengo cha Uhalifu Mkubwa, alikuwa kiongozi wa timu ya uchunguzi iliyoundwa kumsaka mwanasiasa huyo, ambaye alitofautiana na utawala wa Rais wa zamani Uhuru Kenyatta.

Akieleza kuwa alishinikizwa sana na aliyekuwa mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, George Kinoti ili kutoa mapendekezo ambayo yangempeleka Gachagua kizimbani, afisa huyo aliongeza kuwa alipewa muda maalum kuhakikisha hilo linafanyika.

"Mnamo Aprili 15, 2020, DCI ilipokea barua kutoka Kituo cha Kuripoti Fedha ikitoa madai ya uhalifu dhidi ya washtakiwa wanaodaiwa kuhusika na ubadhirifu wa pesa kutoka Bodi ya Taifa ya Umwagiliaji na mashirika mengine," Anasimulia Obadiah katika hati ya kiapo ya kurasa nne.

==================

The report, he says, was transmitted to his section at DCI with clear instructions to promptly carry out investigations including recording of statements, searches, and filing of affidavits in court for orders to access the accused persons’ bank accounts, among other activities.

“The investigations team headed by myself was given strict and fixed timelines to come up with findings promptly which made it difficult to conduct thorough and comprehensive investigations into the allegations,” states Mr Obadiah.

He goes on to state that “while the investigations were still in progress, Mr Kinoti directed us to make recommendations that will enable the accused persons to face charges”.

After being arraigned in court, the detectives abandoned the investigations.

They raised six allegations related to fraud, money laundering, abuse of office and conflict of interest. The trial never moved to hear witness testimony.

The case is set to come up on November 21, 2022, for directions on the withdrawal.

Mr Gachagua is also at the Court of Appeal fighting forfeiture of his Sh200 million that is alleged to be unexplained wealth.

NATION MEDIA
 
Hayo hata hapa yalikuwepo na yapo Wanachama Wafuasi na Viongozi wa CHADEMA WAMEPEWA KESI NYINGI SANA za MAUAJI UHUJUMU UCHUMI na UGAIDI na Wengine Wapo Nje ya Nchi Mafichoni na wengine Wapo Magerezani KISA UCHAGUZI
 
Wakati haya yanafanyika huyu Rutto si alikuwa makamu?inamaana hakujua kabisa
 
Hayo hata hapa yalikuwepo na yapo Wanachama Wafuasi na Viongozi wa CHADEMA WAMEPEWA KESI NYINGI SANA za MAUAJI UHUJUMU UCHUMI na UGAIDI na Wengine Wapo Nje ya Nchi Mafichoni na wengine Wapo Magerezani KISA UCHAGUZI

Kabisa, CDM ni mfano halisi wa matumizi mabaya ya vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya wapinzani wa walioko madarakani.
 
View attachment 2401132
Maafisa wa upelelezi katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) walilazimika kumfungulia mashtaka Naibu Rais Rigathi Gachagua kuhusiana na kesi ya ufisadi wa Tsh. Bilioni 140.3, afisa mkuu wa polisi amefichua.

Pia imeelezwa wakati wa kumkamata Gachagua na kufikishwa kortini Julai 26, 2021, uchunguzi ulikuwa haujakamilika na hakukuwa na ushahidi wa maandishi kuunga mkono makosa hayo.

Wakati huo Naibu Rais Gachagua alikuwa Mbunge wa Mathira.

Katika hati ya kiapo iliyosainiwa na msimamizi mkuu wa polisi Kuriah Obadiah, ambaye yuko katika makao makuu ya DCI, alisema maafisa walisukumwa kumkamata na kumshtaki Bw Gachagua kwa uhalifu wa kifedha.

Bw Obadiah, ambaye ni mkuu wa kitengo cha Uhalifu Mkubwa, alikuwa kiongozi wa timu ya uchunguzi iliyoundwa kumsaka mwanasiasa huyo, ambaye alitofautiana na utawala wa Rais wa zamani Uhuru Kenyatta.

Akieleza kuwa alishinikizwa sana na aliyekuwa mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, George Kinoti ili kutoa mapendekezo ambayo yangempeleka Gachagua kizimbani, afisa huyo aliongeza kuwa alipewa muda maalum kuhakikisha hilo linafanyika.

"Mnamo Aprili 15, 2020, DCI ilipokea barua kutoka Kituo cha Kuripoti Fedha ikitoa madai ya uhalifu dhidi ya washtakiwa wanaodaiwa kuhusika na ubadhirifu wa pesa kutoka Bodi ya Taifa ya Umwagiliaji na mashirika mengine," Anasimulia Obadiah katika hati ya kiapo ya kurasa nne.

==================

The report, he says, was transmitted to his section at DCI with clear instructions to promptly carry out investigations including recording of statements, searches, and filing of affidavits in court for orders to access the accused persons’ bank accounts, among other activities.

“The investigations team headed by myself was given strict and fixed timelines to come up with findings promptly which made it difficult to conduct thorough and comprehensive investigations into the allegations,” states Mr Obadiah.

He goes on to state that “while the investigations were still in progress, Mr Kinoti directed us to make recommendations that will enable the accused persons to face charges”.

After being arraigned in court, the detectives abandoned the investigations.

They raised six allegations related to fraud, money laundering, abuse of office and conflict of interest. The trial never moved to hear witness testimony.

The case is set to come up on November 21, 2022, for directions on the withdrawal.

Mr Gachagua is also at the Court of Appeal fighting forfeiture of his Sh200 million that is alleged to be unexplained wealth.

NATION MEDIA

Yale yale ya kujipendekeza kwa watawala Gachagua, aliiba fedha za county ya Kwale na alisha dai akishinda lazima atarudishiwa fedha zake... sasa yametimia serikali ni yake itazuiaje fedha zake..... aliyekuwa DCI G.Kinoti yuko sahihi, Kenya iko shida....​

 
Kenya Ni miongoni mwa nchi zenye ufisadi mkubwa zaidi Africa ,,, ! Ipo top 5 Kama sio top 3, Nigeria nae sio haba !!
 
Kenya Ni miongoni mwa nchi zenye ufisadi mkubwa zaidi Africa ,,, ! Ipo top 5 Kama sio top 3, Nigeria nae sio haba !!
Mkuu uko sashihi kabisa hapo TAITA TAVETA RUTO pekeake ana hekari 2500 za ardhi, wananchi wazawa wa hapo, toka 70s hawapewi hati miliki... naipenda TZ.
 
Hii ndio Afrika... usafi au uchafu wa high profile citizens hutegemeana na nani yupo white house!!
 
View attachment 2401132
Maafisa wa upelelezi katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) walilazimika kumfungulia mashtaka Naibu Rais Rigathi Gachagua kuhusiana na kesi ya ufisadi wa Tsh. Bilioni 140.3, afisa mkuu wa polisi amefichua.

Pia imeelezwa wakati wa kumkamata Gachagua na kufikishwa kortini Julai 26, 2021, uchunguzi ulikuwa haujakamilika na hakukuwa na ushahidi wa maandishi kuunga mkono makosa hayo.

Wakati huo Naibu Rais Gachagua alikuwa Mbunge wa Mathira.

Katika hati ya kiapo iliyosainiwa na msimamizi mkuu wa polisi Kuriah Obadiah, ambaye yuko katika makao makuu ya DCI, alisema maafisa walisukumwa kumkamata na kumshtaki Bw Gachagua kwa uhalifu wa kifedha.

Bw Obadiah, ambaye ni mkuu wa kitengo cha Uhalifu Mkubwa, alikuwa kiongozi wa timu ya uchunguzi iliyoundwa kumsaka mwanasiasa huyo, ambaye alitofautiana na utawala wa Rais wa zamani Uhuru Kenyatta.

Akieleza kuwa alishinikizwa sana na aliyekuwa mkurugenzi wa Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, George Kinoti ili kutoa mapendekezo ambayo yangempeleka Gachagua kizimbani, afisa huyo aliongeza kuwa alipewa muda maalum kuhakikisha hilo linafanyika.

"Mnamo Aprili 15, 2020, DCI ilipokea barua kutoka Kituo cha Kuripoti Fedha ikitoa madai ya uhalifu dhidi ya washtakiwa wanaodaiwa kuhusika na ubadhirifu wa pesa kutoka Bodi ya Taifa ya Umwagiliaji na mashirika mengine," Anasimulia Obadiah katika hati ya kiapo ya kurasa nne.

==================

The report, he says, was transmitted to his section at DCI with clear instructions to promptly carry out investigations including recording of statements, searches, and filing of affidavits in court for orders to access the accused persons’ bank accounts, among other activities.

“The investigations team headed by myself was given strict and fixed timelines to come up with findings promptly which made it difficult to conduct thorough and comprehensive investigations into the allegations,” states Mr Obadiah.

He goes on to state that “while the investigations were still in progress, Mr Kinoti directed us to make recommendations that will enable the accused persons to face charges”.

After being arraigned in court, the detectives abandoned the investigations.

They raised six allegations related to fraud, money laundering, abuse of office and conflict of interest. The trial never moved to hear witness testimony.

The case is set to come up on November 21, 2022, for directions on the withdrawal.

Mr Gachagua is also at the Court of Appeal fighting forfeiture of his Sh200 million that is alleged to be unexplained wealth.

NATION MEDIA

Do not swallow that in it’s entirety. Tambua kwamba anayetetewa hapo ni makamu wa raisi na Afrika ili uendelee kula, unafiki lazima.

Kuna uwezekano hao jamaa wamebanwa ili kujenga mazingira ya kumsafisha makamu wa raisi.

IGP na mkurugenzi wa upelelezi wote walilazimika kuachia ngazi coz waliamini hawa waliyochaguliwa siyo wa kufanya nao kazi kutokana na historia zao husuani kuhusiana na ufisadi.
 
Kamata huyo kinoti naye aone kama alimfanyia vizuri gachagua.malipo ni hapahapa
 
Back
Top Bottom