Mnapendaga kujifarijiRashidi makame
Tumezurura wote mitaa ya jang'ombe sasa anawanyoonsha tu wazungu
Taifa liturudishie mtu wetu😅😅
Anachezea Timu gani?,Ni Mpemba wa sehelmu gani?.Rashidi makame
Tumezurura wote mitaa ya jang'ombe sasa anawanyoonsha tu wazungu
Taifa liturudishie mtu wetu[emoji28][emoji28]
Kweli kabisa. Hilo Mpemba ni jina la utani tu kwa hapa Bongo.Rashford babu na babu zake wanatokea jamaica