mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 685
Nasikia Mpemba ni kigogo? Yupo mikononi mwa Polisi kwa sasa, nasikia kalegea anasema kila kitu!
Nasikia anataja majina makaratasi Polisi yameisha!
Majina yote anayotaja ni hatari tupu! Nchi itatikisika!
Nasikia wanasiasa wengi wamo!
Nasikia hata viongozi?
Weee umesikia nini?
Niambie!!
Nasikia anataja majina makaratasi Polisi yameisha!
Majina yote anayotaja ni hatari tupu! Nchi itatikisika!
Nasikia wanasiasa wengi wamo!
Nasikia hata viongozi?
Weee umesikia nini?
Niambie!!