mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 685
Nimesikia wewe ni mmoja kati ya wanne!Nasikia Mpemba ni kigogo? Yupo mikononi mwa Polisi kwa sasa, nasikia kalegea anasema kila kitu!
Nasikia anataja majina makaratasi Polisi yameisha!
Majina yote anayotaja ni hatari tupu! Nchi itatikisika!
Nasikia wanasiasa wengi wamo!
Nasikia hata viongozi?
Weee umesikia nini?
Niambie!!
Acha kulichafua kanisa takatifu katoliki la mitume kama hujui kitu kaa kimyaNimesikia Mpemba kumbe ni Padri wa RC?