menny terry
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 509
- 670
mh! wapemba hawapo hivyo. Na kama huyo ndo mtindo wake, basi ni kivyake vyake wala isisemwe kuwa mambo ya wapemba waachiwe wapemba wenyewao coz hayo si mambo yao bali ni upumbavu wa huyo mtu binafsi.
mh! wapemba hawapo hivyo. Na kama huyo ndo mtindo wake, basi ni kivyake vyake wala isisemwe kuwa mambo ya wapemba waachiwe wapemba wenyewao coz hayo si mambo yao bali ni upumbavu wa huyo mtu binafsi.
umeyajuaje yote hayo??jamani wanajamvini mnalipi la kusema juu ya hili? Jamaa yangu hapa home ana duka siunajua mpemba so amempiga marufuku mkewe kuvaa kufuli ili atakapo jisikia mzuka tu ajimwage kwa raha zake lakini usiku akijisikia basi hupanda kifuani nakuanza mambo wakati mkewe kalala hali hii imekua ikimkera mkewe sana! Jamani wana jamvini msaidieni huyu mpemba.
Ulijuaje kuwa hayo yanafanyika?
jamani wanajamvini mnalipi la kusema juu ya hili? Jamaa yangu hapa home ana duka siunajua mpemba so amempiga marufuku mkewe kuvaa kufuli ili atakapo jisikia mzuka tu ajimwage kwa raha zake lakini usiku akijisikia basi hupanda kifuani nakuanza mambo wakati mkewe kalala hali hii imekua ikimkera mkewe sana! Jamani wana jamvini msaidieni huyu mpemba.