Herbalist Dr MziziMkavu JF-Expert Member Joined Feb 3, 2009 Posts 42,872 Reaction score 34,363 Oct 11, 2010 #1 Dunia imekwisha jamani Ehhhhhhhhhhhhh Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Joined Sep 3, 2010 Posts 7,956 Reaction score 5,149 Oct 11, 2010 #2 Mh, huyo lazima atakuwa paka koko tu ,kwa jamii yetu haturuhusu hii kitu.
Mwanamayu JF-Expert Member Joined May 7, 2010 Posts 11,662 Reaction score 6,888 Oct 11, 2010 #3 Yawezekana huyo paka bado ananyonya!! Au huyo panya bado mdogo sana. Lini ndama mdogo alipelekwa majinjioni!
Yawezekana huyo paka bado ananyonya!! Au huyo panya bado mdogo sana. Lini ndama mdogo alipelekwa majinjioni!
K Kithuku JF-Expert Member Joined Nov 19, 2006 Posts 1,395 Reaction score 215 Oct 11, 2010 #4 hii naomba wenye email ya JK wamtumie pengine atatuelewa tunapomlaumu kuhusu kuwalea mafisadi. Imagine mapanya wanamaliza mpunga ghalani, kumbe paka ni mshkaji wao wanamchezea sharubu!
hii naomba wenye email ya JK wamtumie pengine atatuelewa tunapomlaumu kuhusu kuwalea mafisadi. Imagine mapanya wanamaliza mpunga ghalani, kumbe paka ni mshkaji wao wanamchezea sharubu!
cheusimangala JF-Expert Member Joined Feb 27, 2010 Posts 2,585 Reaction score 498 Oct 11, 2010 #5 kama paka anaweza kushi vizuri na panya kwa nini sisi tunashindwa kuishi vyema na majirani zetu.