Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 388
- 484
Usijipotezee muda Agy, we just made ur decision mydia.Mi siwezi kurupuka kufanya maamuzi.sababu nna nia ya kweli.
Sasa nkimbana aseme anadai bado ana nia
Mi aniambie tu kama hana nia.nasepa
Hapana shida
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia nahitimisha "HAKUPENDI" maana kuna mwenzio namfanyia hayo hayo ulioainisha kwenye mada husika! Japo anaforce na malalamishi ni mengi ila nilifikia stage nikamchana kama vipi awe na mwanaume mwengine mie moyo wangu ushakufa ganzi. Anadai hawezi kuhangaika na wanaume wengine atavumilia mpaka niwe sawa!Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.
Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.
nishakuta sms kwenye simu ya baby wang manzi analalamika km ww unavyolalamika kwamba hatafutwii na bra bra kibaooo ila kwa upande wng mshikaji ananitafuta balaa 24/7 nilichokugudua km anakupenda LAZIMA atatenga muda kwa ajili yako..my dia hapo utakiwi toka mdog mdgo yan tena kmy kmy
Hivi unaweza kudate na mpenzi aliye bize wiki nzima?
Yani yuko bize kuanzia asubuhi mpaka usiku, hata umtext hajibu. Utapiga na kuacha missed calls hata kumi simu haipokelewi. Hata kusema yeye akupe "hi" wala hajisumbui!
Unajiuliza hali? Hana mda wa kupumzika? Kwenda chooni?
Hata muda anapanda kitandani aguse simu akutext usiku mwema hana, ni Jumatatu mpaka Jumapili, asubuhi hadi usiku, usiku hadi asubuhi.
Hata Mungu mwenyewe alivoumba dunia alipumzika siku ya saba jamani, wewe ni kazi gani za ofisini za kukufanya hivi?
Ukitaka akutext inabidi umsumbue kwa maneno makali ulalamike wee ndo utaona akikujibu.
Basi akikujibu anabembeleza wee na msamaha anaomba ila akaweka simu pembeni bado yale yale yanaendelea.
Unashindwa kuwa na quality time na mpenzi akitekwa na mwingine utasemaje?
Kama mpenzi tu hivi utaweza kujenga familia?
Hivi mnadili vipi na wapenzi wa aina hii?
Hii 4 ndio ilionifanya nikose upendo kwa yule binti japo hana shida nyingi! Very clingy like baby shiit on 'em diapers!1:Tambua kwa nini yupo busy/ nini kinachomfanya awe hivyo,.
2:Kuwa mkweli kwake kuwa unateseka kihisia anapokiwa anafanya hivyo ili ajue ni kwa namna gani anatenga mda wakuwasiliana na wewe hata kama yupo busy na kazi.
3:Hakupendi tena ila hajui ni kwa namna gani akuambie,.
4:Wewe ni msumbufu/unapenda kuwa karibu yake san so unamkera ?
5:
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nishakuta sms kwenye simu ya baby wang manzi analalamika km ww unavyolalamika kwamba hatafutwii na bra bra kibaooo ila kwa upande wng mshikaji ananitafuta balaa 24/7 nilichokugudua km anakupenda LAZIMA atatenga muda kwa ajili yako..my dia hapo utakiwi toka mdog mdgo yan tena kmy kmy
Kuna mambo mawili, kwanza, hakupendi kama unavyompenda au ambavyo unatamani akupende. Pili, unamsumbua mara kwa mara. Unajua wakati mwingine wanaume hatupendi usumbufu mwingi hasa tunapokua kwenye mambo mengine yanayohitaji umakini au utulivu, japo haiwi bize kiasi cha hata kutoa salam au kumjulia hali mtu unayempenda.
Nahitimisha jambo moja tu, HAKUPENDI.
Huwezi kubaki mwenyewe sio kweli! Utajinunisha ila akija mwengine unaunga nae tela!Sawa mkuu..ila hivi viumbe vya mikia ya mbele vimenichosha.
Ntabaki tu peke angu npambane na hali yangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahaha we msenge chizi kwenye hio line ya mwisho πππππUmeamuaje mpenzi wangu labda nikwambie kitu hamna kitu inakuaga mgumu kumtamkia mtu direct kuwa humpend ila huwa zinatumika ishara fulan ili angalau agundue aage mashindano shda huwa inakuja pale mtu hyo anapogoma kuaga mashindano jamn inaleta shda yan acha tu kwa nn hutak kuaga mashindano ya AFICON
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaweka lst seen iwe hivyoo ni setting tu..Jamani..mda wote ukiangalia last seen inaonyesha SAA hiyo hiyo lakini anadai hashiki simu..
Sent using Jamii Forums mobile app
πππππ unajua sikuwahi experience ile hali ya kuwa mtu ulimingle nae kama rebound ukaja gundua humpendi halafu yeye kashakolea kwako! I almost feel like shiyt wheneveri see her texts or missed dials!Yawezekana unamsumbua sumbua sana nayeye sio mtu wa kupenda kuwasiliana kila muda(sio kila mtu anapenda kugandana gandana)
Au yawezekana pia jamaa hakupendi anatafuta namna ya kukuacha na kachagua a civil way(unaachwa kimya kimya dear)
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah usiombe kukutwa na bwana pepsi, hapo ndipo utapoona umuhimu wa ile ngoma ya Diamond na Shetta!Pole sasa, hata mi imenikuta kuna manzi tunapendana sms kila siku, baada ya muda akawa sms hajibu, unampigia hapokei na tena hakutafuti Utasikia ni bussy mara wazazi had sasa napiga ananikatia simu makusudi
Lakn nikaja kugundua tiyar anamshikaji mwingine penzi lake amelielekeza huko , Ikabidi nitulie tu!!! Japo roho inauma
So na ww ni uhakika %100. HAKUPENDI
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu we ni fayaaaa cjuw unawazaga ninMapenzi kabla ya kubanduana huwa mtu anakutumia msgs kama anakudai figo, ila akishakubandua zaid ya tatu text ya asubuhi anaweza kukujibu jioni tena baada ya bia kuanza kumchukua
Hata mimi nikishamchoka mpenzi wangu huwa najikuta sina muda naye kabisa....na anavyolalamika ndivyo naona ananichefua...kwa hiyo umeshachokwa
πππππAisee kuweni na huruma basi, ogopa sana chozi la mwanamke linalo toka kwa ajili yako,laana nyingine huwa mnajitafutia wallah.