bila shaka safari yako ya chumvini ikaingia doa, ndo mana wenzio wanaenda huku wamefumba macho sasa we macho kodooooooooooo
" Wadau, nikiwa nasikiliza baadhi ya maada leo hii, Niliguswa sana na huu utata"
Katika hatua za mwisho unagundua Mpenzi wako amechichora Jina la Mpenzi wake wa dhamani, Mfano I love you AAA wakati wewe ni BBB utafanyaje?
"Je utaacha kuangalia kila unapokutana naye au utafanyaje na hali ni jirani kabisa na Eneo Nyeti"
labda kama ulikuwa mlupo but kama ulitaka kuoa ahilisha hafai huyo!" wadau, nikiwa nasikiliza baadhi ya maada leo hii, niliguswa sana na huu utata"
katika hatua za mwisho unagundua mpenzi wako amechichora jina la mpenzi wake wa dhamani, mfano i love you aaa wakati wewe ni bbb utafanyaje?
"je utaacha kuangalia kila unapokutana naye au utafanyaje na hali ni jirani kabisa na eneo nyeti"
pima mapenzi yako kwake kama yanaweza kuhimili kuona jina la mtu mwingine.kama kweli mapenzi yanauzito zaidi kwake then unapotezea tu kama huoni.after all ni pekeyako utakua unajua hiyo siri
Kwani hiyo tatoo imechorwa "moyoni mwake"?... Mie sioni tatizo kwa tatoo kuwa sehemu nyeti hata kama ingekuwa ni ya mme wake wa ndoa aliyeapa kifo kiwatenganishe...wewe ingiza dudu piga mashine... Mapenzi huifadhiwa moyoni na sio kwa tatoo... umenielewa kijana?
we kilichokupeleka hapo ni kusoma jina au kupiga kazi..piga kazi mwanawane then endelea na mambo mengine utakuja kupata bp bure
futa hiyo hata kama ni kwa kuondoa hiyo sehem ya ngozi iliyochorwa...