Mpenzi anahitajika kwa haraka

Kwa jinsi ulivyojieleza naweza patia kabisa Mkoa uliotoka..... Ila best usitumie nguvu za mkoani kutongozea mjini utalala doro.... Mjini ni kuanzisha mashambulizi kupitia katikati ya msitu wa mabeki....Ukitumia wings kama mkoa kufunga goli ni kazi ngumu kama kupanda mlima Kilimanjaro ukiwa peku...Nadhani kama unajua mambo ya soka umepata ujumbe mujarabu.....
 
mkuu utapata tu mke mana usingle kazi kinoma bro (mana mi mwenyewe natafuta mchumba nimekua single miaka mingi sanaaaaaa, kama atakuwepo anicheki inboboo)
 
Hyu muongo asee mi nmeishi mikoani na dar naishi nw ila kiukweli wa dar wanagegedwa simple sana ukiwa mjanja ila ukiwa domo zege utapiga sana mabao ya mkono
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…