Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
mwanajeshi au polisi,tudundane vizuri!!!akiwa mtu mwingine nitamuonea...nimejazia kibaunsa baunsa hivi...:happy::happy:
Basi Mganyizi anakufaa wewe...tehtehteh
Nimpenzi gani uneweza kumfanya awe mpenzi wako kati ya hawa??
Kati ya hawa niwale wasiokaa ndani kila siku wao niwatu wakuhudumia jamii!!
- Police
mwanajeshi au polisi,tudundane vizuri!!!akiwa mtu mwingine nitamuonea...nimejazia kibaunsa baunsa hivi...:happy::happy:
KakaKiiza bwana mi huwa unanifurahisha sana na mada zako. mi ningemuoa polisi ili vibaka wakinivamia anisaidie kuwakabili maana ana mbinu za kufanya hivyo. lakini....tatizo ni wakati anapoenda shift...