Mpenzi huyu!!

Ahahahahahaaaaah bado hajakupa tu hizo kontakti?
 
Nilibahatika kuwa na mpenzi lakini alikuwa akiniambia neno hili untaka "JICHO"Mhmm nikamwuliza jicho mimi la nini?akacheka tukaendelea na raha zingine hadi tunaachana sijajua ninimaana yake nisaidieni wajuvi.

Mwangalie rose nadhani alimaanisha hivo
 
God forbid that,bora hukujua na hukupewa na usitake kujua maana ni laana
 
God forbid that,bora hukujua na hukupewa na usitake kujua maana ni laana


jamani tusiwe wepesi wa kutaka kuonekana ni watakatifu machoni pa watu kwa kutotaka kuexpress feeling zako wakati mkiwa kwenye game za nje huwa mnaomba sana "jichos"!we nini bana
 
we ungemuuliza anamaanisha nini sasa si tutajuaje?
 
JICHO??? hilo swali gumu sana bwana hata mimi nafikiria jibu bado..:doh:
 
God forbid that,bora hukujua na hukupewa na usitake kujua maana ni laana
Je nikikuta na mwingine akasema hivyo na akafafanua kumbe tayari mambo yameharika!!Usimzuie mtoto melimishe mtoto!
 
Mwangalie rose nadhani alimaanisha hivo
Rose 1980 nakuomba unieleze kama wewe ulishatoa jicho!maana speaker ansema alimaniisha jicho lako linavyopiga endketa wewe unatoaga "Jicho"??Navipi??
 


:crazy::crazy::A S 33::A S 33: :laser::laser: :A S 114::A S 114::A S 114::A S 114::A S 114:
 
Tupe jibu, ulikubali au ulikataa? kama ulikubali alikupa nini? kama ulukataa kilitokea nini?:hippie:
 
Mwambie unataka Pweza, au Bata
 
Unajua kama mtu huna kaenteresit na story wala haulizi hivyo sikuuliza baada ya kuniuliza unataka JICHO nikajua niutani anamanisha napenda macho yake basi end of the story kwa hiyo ilibidi nimuulize??

Hivyo GAMA i couldn't even to ask Wat was it by the way?? Nadhani mpaka hapo tupo pamoja!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…