Mpenzi likizoni (mtu mzima)

Watu mna mbwembwe.Tatizo hapa JeiEfu sidhani kama kuna watu wenye homa ya ulaya kiasi cha kukupapatikia...so subiri utue bongo alafu kila utakaekutana nae usisahau kumwambia umetoka ulaya na hukai sana...lazima utawakamata tu wenye njaa zao.
 
Watu mna mbwembwe.Tatizo hapa JeiEfu sidhani kama kuna watu wenye homa ya ulaya kiasi cha kukupapatikia...so subiri utue bongo alafu kila utakaekutana nae usisahau kumwambia umetoka ulaya na hukai sana...lazima utawakamata tu wenye njaa zao.

...nilivyomuelewa "Muingereza wa Holland", hana muda huo. Yeye anataka akitua tu, mwenyeji wake ampokee waanze malavi davi. Baada ya wiki mbili, kila mtu anachukua hamsini zake. No Strings Attached.
Nadhani jamaa kadata hatamani hata kuonana na watu wa kwao.
 
Hata airport atawadaka wale wanaopenda kuomba omba dollar 20.
 

usipate shida kaka nadhani wale wa amsterdam hapa hawapo, sasa fanya hivi ukishuka airport chuckua taxi mwambie akupeleke sinza africa sana corner bar kuanzia saa moja jioni, ukionyesha dolari tu utaondoka nao wakutosha ile ukimbuke mambo kwa soksi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…