Naanza na samahani lakini ivyi y mpaka mkawasiliane kwa pm??kwanini kama ni stage za mwanzo zisiwekwe hadharani???thn kama ukiona anafaa ndo muende kwa pm..!!na wasiwasi sana na hizi pm isije tu ikawa mtu wadanganyika kirahisi na possibilities za kuwekwaa foleni pia...!!!kama kweli unatafuta mke/mme haina haja ya pm tiririkeni hapa tuone....!!!!SORRY....!!!!