Mpenzi niliyekutana naye JF, naye alizingua nikashindwa kuja nae US

hizo ni dalili mbaya


KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI

#Ponda mali kufa kwaja
 
Pole mkuu,
Inauma pale umeenda mzima mzima ila mwenzako haoni kama upo real. Ila pia nadhani wadada wengi wenye exposure wanajua namna ya kuhandle mahusiano, wengine hata hawataki hizo seriousness tunazotaka. Unataka kutulia, kumbe yeye anataka casual.
 
Ndugu zangu, mtoa mada anamaanisha " USA River" sio " USA".
 
Huwa siwezi kuwa na mlolongo mrefu, maana kuna umri ukifika unaona kabisa hauwezi kuleta mlolongo kwenye kuchukua mwanamke ambaye unaona anafaa. Ila wengi wanaona ukifanya hivyo anaona unamuona kahaba
 
Illegal fishing na blah blah za yuesi, go and fvck your cousins.. stupid
 
Akhiiiii JF inakufanya kuwa unachotaka, hiyo US labda ya Kigamboni Tuamoyoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Prof janabi unakunywa pombe na misupu na nyama choma kweli janabi kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…