Maalim Jumar
JF-Expert Member
- Dec 28, 2010
- 1,259
- 118
Amani iwe kwenu GT!
Kweli mambo haya yana wenyewe mie yamenishinda!
Naona nifikiri mambo mengine!
Mnasemaje?
<br />Nimeshindwa kukusaidia, maelezo yako hayajajitosheleza..............
<br />pole sana, inaonyesha labda hakuitaji, songa mbele
<br />Naona siku hizi malalamiko yanazidi kuja tu! <br />
<br />
WATU wa hii professional tusaidieni, look for funds and do some resarch to come out with some facts. Mahusiano mengi siku hizi ni kero, yanasumbua sana kutokana na elimu duni ya haya mambo, au kutokana na mabadiliko ya hali za maisha nk.
<br />Maalim wenye majina haya huwa hawakati tamaa kabisa, ikishindikana mpigie dua la nguvu atabadilika tu, ndio mahusiano yalivyo,embu sema anasumbua na nini?
<br />kama anakusumbua sana mpe likizo tulia kimya kama kweli anaku feel atakutafuta