hahaaaaHaziitwi risiti sikuhizi zinaitwa Wastara.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
😀😀😀saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
wako hivyo mkuu, huwa nawasubiria hapo tu..Ipo Siku Uyu Mtu Atakuja Kutuomba Msaada Tumchangie Sababu Ya Tatizo Fran
Ngoja Niwe Mpole
[emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha sana lohWenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
[emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha sana loh
Naisubiri yako na Mimi nije nitoe ushuhuda hapa Jf ! ha haaa haaaaaMwanamme anachekelea "kuhongwa" au niseme ni "zawadi"
dunia imebadilika siku hizi.
Wewe hujui Serkal ya Awamu ya 5.Hakuna kitu kama hicho...yeye amelipia vat huko hapa anavaa tu...ni sawa na kununua suruali yako ukaanza kuivaa halafu udaiwe vat
acha chuki mtoto wa mama .. jama anayo prado ya kwake ya million 50 ... utayala japo yananukasaa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
[emoji1] [emoji1]Wenye bahati zao kweli wanabahatika na siyo Sisi wengine ambao ukibahatika kupata Zawadi kwa Demu wako basi jua ni ya Gono au Kaswende pekee kama si na ile ya Dally Kimoko.
Mkuu ujui kama kuna risiti za fotoa mjini?Upuuzi mtu alete risiti hapa ndio nitaamini