Hahahahahah na mimi nashangaa....una saa ya mil 600 unaishi nyumba ya mil 50.....saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haziitwi risiti sikuhizi zinaitwa Wastara.
Unajua sheria ya vat au unajifurahisha?Na habar za mimba
Akija nayo huku TRA wanamuhusu. Million 600, VAT 18% ni kama m108. Sasa amfahamishe kabisa aliyempa iyo zawadi aje na million 108 mkononi.
hahahaaa jamaniHizo hela zote si angeenda kubadilisha kijijini kwao.
Labda hiyo saa ilikuwa y'all marehemu babu ake na sara. Akapewa urithi nae ndo kamrithisha hamo
saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Ujue mara nyingi nnashanga watu wanavyo amini maneno ya wasanii.saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Nnaona mimba yake ni ya 120monthshahaha Harmonize ni bingwa wa fix hahaha hivi huyo binti bado hajajifungua tuu?
Hivi ile mark x nyeusi nilimuona Sinza kampakiza Wolper ndo hiyo hiyo hadi now?saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Au mama cannulaHaziitwi risiti sikuhizi zinaitwa Wastara.
Bora ww utauza kesho yake mm cku iyo iyo nauzaNyumba anayoishi ina gharama gani?
Hata iweje siwezi vaa saa ya mil 600. Nitaiuza kesho yake!
Kuna saa zinaitwa copies...hii inawezekana ni patek phillipe lakini imetengenezewa shenghen!Nyumba anayoishi ina gharama gani?
Hata iweje siwezi vaa saa ya mil 600. Nitaiuza kesho yake!
Bora ww utauza kesho yake mm cku iyo iyo nauza
Au wakiuugua na gharama iwe kuanzia milioni 15 tu utawasikiaAmeyasemea hayo instagram sio?
Hawa maisha yao halisi hujulikana siku wakinyamaza.
GIGOLO???????????????Harmonize ameupasua mtandao wa Instagram kwa mshangao baada ya kuweka wazi bei ya zawadi ya saa ya mkononi aliyonunuliwa na mpenzi wake, Sarah.
Kupitia kipande cha video alichoweka akiwa ughaibuni, mwanafamilia huyo wa WCB ameonesha saa aina ya Patek Philippe ambayo kwa mujibu wake imenunuliwa kwa $267,525 (sawa na shilingi milioni 603 za Tanzania).
Mwimbaji huyo ameweka picha ya inayoonesha saa hiyo yenye mng’ao wa ‘ukwasi’ na kuandika, “Put some respect on it, thanks baby @sarah__tz ❤ Google the price.”
Kwa lugha ya nyumbani Tanzania, Hamornize amemshukuru mpenzi wake Sarah kwa zawadi, ametaka anayeiona aipe heshima, lakini pia ametaka udhibitishe kwa kui-google.
Hata hivyo, alienda mbali na kusaidia kuiangalia kwenye Google ambapo ilionesha bei ya $267,525 huku nyingine ambayo ni tofauti na yake ikionesha bei ya $41,479.
Patek Philippe ni saa za adhimu na zenye gharama kubwa, awali bei ya saa zake ilikuwa kati ya $25,000 hadi $300,000. Lakini hivi karibuni, iliibuka saa ambayo ilitikisha soko, gharama yake ikitajwa kuwa $2.5 Million, kwa mujibu wa Business Insider.
Ni Harmonize pekee na Sarah ndio wanaofahamu ukweli wa bei ya saa hiyo. Kama alivyowahi kusema Rais wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete, “akili ya mbayuwayu changanya na yako.”