Mpenzi wa Harmonize amnunulia saa ya milioni 600

saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Hahahahahah na mimi nashangaa....una saa ya mil 600 unaishi nyumba ya mil 50.....
 
Hawa watu watupumzishe,mayonaise wimbo gani katoa unamhusu?siku zote ni kuiga nyimbo za baba ake ndomo nae bila kolabo na kuiga wapopo hamna kitu.
Huyo demu mnadanganywa mzungu ni mmoroko na mtaliano.
Italia,Milano sijui wapi mi huenda kula bata na blondy wa ukweli,sa ingine bila kuwalipa,respect wakiona huyu mwafrika anatunywesha hivi mbunye unapewa ukinasa unapunwa.
 
Na habar za mimba

Akija nayo huku TRA wanamuhusu. Million 600, VAT 18% ni kama m108. Sasa amfahamishe kabisa aliyempa iyo zawadi aje na million 108 mkononi.
Unajua sheria ya vat au unajifurahisha?
 
Mmakonde mwenzangu kadanganya tena pakubwa sana.....
 
saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar

Hahahaa.a. maneno Kuntu
 
Nimekuja kusoma comments tu...
 
saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Ujue mara nyingi nnashanga watu wanavyo amini maneno ya wasanii.

Wengi hawajui hata maisha yao ni usanii mtupu
 
Kwa thamani yeyote ya hiyo saa, ngoja masela wamuotee! Wakileta kwangu wataniambia tu "mwana cheki mzigo wa kishua huu, kama vipi we tuachie elfu hamsini, ila sema nini mwana, hata twenty siyo mbaya wanao tukajilipue"
 
Mxiuuuuu....saa ya mil 600, while mtwara mama ake anaishi nyumba ya udongo!

Rubbish! Rubbish!
 
saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar
Hivi ile mark x nyeusi nilimuona Sinza kampakiza Wolper ndo hiyo hiyo hadi now?
 
Nyumba anayoishi ina gharama gani?
Hata iweje siwezi vaa saa ya mil 600. Nitaiuza kesho yake!
Kuna saa zinaitwa copies...hii inawezekana ni patek phillipe lakini imetengenezewa shenghen!
 
GIGOLO???????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…