Umeharibu hapo kwenye RED!Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usizidi 37 wala usipungue 24! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usizidi 37 wala usipungue 24! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Huko Unga limited unakoishi hakuna mwanaJF. Hebu mPM PakaJimmy a do the needful.
Kama mimi nna miaka 37.5 ndo imekula kwangu japokuwa vigezo vyote vimenikubali? (Nna mashaka kama kweli unatafuta mpenzi wa kwenye keyboard huku ukiweka limitations za umri)... Kwa sisi tuliozaliwa Ocean road enzi hizo tunasema: STUKA!!
Hommie punguza kusoma katikati ya mistari unawaharibia wajukuu bana!Huko Unga limited unakoishi hakuna mwanaJF. Hebu mPM PakaJimmy a do the needful.
Kama mimi nna miaka 37.5 ndo imekula kwangu japokuwa vigezo vyote vimenikubali? (Nna mashaka kama kweli unatafuta mpenzi wa kwenye keyboard huku ukiweka limitations za umri)... Kwa sisi tuliozaliwa Ocean road enzi hizo tunasema: STUKA!!
Nitakusaidia kumpata-Mimi binafsi niko engaged na siendani na vigezo vyako...Onyesha msisitizo wa mawasiliano kama uko serious!Huko Unga limited unakoishi hakuna mwanaJF. Hebu mPM PakaJimmy a do the needful.
Kama mimi nna miaka 37.5 ndo imekula kwangu japokuwa vigezo vyote vimenikubali? (Nna mashaka kama kweli unatafuta mpenzi wa kwenye keyboard huku ukiweka limitations za umri)... Kwa sisi tuliozaliwa Ocean road enzi hizo tunasema: STUKA!!
Kila siku watu wanazidi kutafuta wenzi humu!Wengine wanataka kuoa kabisa...wengine kuondoa upweke..sasa na mimi natafuta wangu leo wapendwa!Natafuta mkaka awe mpenzi wangu wa JF..yani mambo yote yanaishia humu humu!Vigezo:1.Umri usipungue 20 tu..sitaki mtoto mie! 2.Elimu haijalishi...maadam kutype JF anaweza sihitaji cheti! 3.Sura..umbo sijali! 4.Kigezo muhimu awe mcheshi..mwenye furaha ..na good sense of humour ili tuondoane mastress ya nyuma ya pc!Nawakilisha....!
Una point hapo kwenye umri..nidai senksi!Ngoja niweke uhuru hapo!
Nimekuwa wa kwanza kukupa hii kitu! Bila shaka bila kuchakachuliwa ombi lako limepata jibu. MOD unaweza kufunga hii kitu.
The Following User Says Thank You to Lizzy For This Useful Post:
Rev Masanilo (Today)