Npo serious nataka niwe tofaut kdogo
Ndo nini hiyo
kim?
Ndugu zangu hawana maamuzi juu yangu hasa katika mahusiano
Unataka muhindi halafu hujui lugha? utatetwaaaa....namasteeee....
Mbona humu ngozi nyeusi tu? Kawatafute kwenye website zao.
mkuu kuna Dr wa politics pale UDSM ye ni mzungu ila kamuoa mzaramoMzaramo na mzungu wapi na wapi....???
Mbona humu ngozi nyeusi tu? Kawatafute kwenye website zao.