ubarikiwe, kwa kuwa wewe si malaya.
Naona umeshindwa kunielewa, sijakuita wewe kuwa ni malaya bali huyo utaempata...
Kumbuka unataka kumtumia tu mara chache na sio kudumu naye...umeelewa sasa?
vipi kama atafurahia hiyo safari na mambo yake yote pia itakuwa nimemtumia? Je, kama itatokea na yeye alikuwa na wazo kama langu pia itakuwa nimemtumia?
Natafuta mpenzi (mwanamke) wa kutalii naye ndani ya nchi, mara 1 au 2 kwa mwaka kwa muda wa wiki 1 au 2 kwa kila safari
lara 1 , MadameX mpo wapi jamani? Radhia SweetyNatafuta mpenzi (mwanamke) wa kutalii naye ndani ya nchi, mara 1 au 2 kwa mwaka kwa muda wa wiki 1 au 2 kwa kila safari, awe na umri miaka 27-45, mimi ninamiaka 36.
Preta umejiandaa kupata mtoto baada ya huo utalii?Tunaenda wapi na wapi......? Mi nakuja......gharama zote juu yako eeeeehh.......!!?