Mpenzi wa kutalii naye.

pole pole Preta, ni Pm tupange, tukipangia kwenye kadamnasi watu aina ya The boss au Mrembo by nature wataingilia na kuvuruga mipango.

na Smile.......
 
Last edited by a moderator:
kwa nini initokee puani......? naenda.......

nimeipenda hiyo, watu kama hao huzaliwa, husoma, hukuwa na kuanza maisha ktk sehemu moja, yaani mara nyingi hata mkoa wa jirani na mkoa wake hajawahi kwenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…