Yananuka sana, kama unabisha yanyeshewe usikilizie.Mavi ya kale hayanuki,lazima enzi ikumbukwe,kimsingi anatakiwa arealize kuwa niko na mwenzagu na asije leta tifu na ugomvi
Ambavo simpendi, sitaki hata kumuona, nini kukumbushia, bora nibakie single tu
Akipita anga zako utamkumbuka tu.HURUMA.......
Hakuna atakaesema ukweli hapa!