Mpenzi wako anapokwambia "flani ananitongoza" anakua anamaanisha nini?

Mpenzi wako anapokwambia "flani ananitongoza" anakua anamaanisha nini?

kunta93

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2015
Posts
754
Reaction score
1,512
Juzi kaniambia mwanasheria wa kampuni yao anamtongoza akanitumia na screenshot ya meseji na hio sio mara ya kwanza kuniambia nadhani ni ya nne wahusika wakiwa tofauti tofauti

Sasa najiuliza hiv huyu dem ananambia hivi ili iweje??anataka nikampge huyo anaemtongoza?au ananitambia tu ili kutishana tishana

Je akitongozwa na crush wake ataniambia?

Hivi viumbe vina mambo mengi

1642405039618.png

 
Juzi kaniambia mwanasheria wa kampuni yao anamtongoza akanitumia na screenshot ya meseji na hio sio mara ya kwanza kuniambia nadhani ni ya nne wahusika wakiwa tofauti tofauti

Sasa najiuliza hiv huyu dem ananambia hivi ili iweje??anataka nikampge huyo anaemtongoza?au ananitambia tu ili kutishana tishana

Je akitongozwa na crush wake ataniambia?

Hivi viumbe vina mambo mengi
Oy dem akikwambia ishu izo kaloge ataliwa kweli huyo...haki nakwambia
 
Ni lugha ya kukwambia uzidishe upendo kwake, because ukizubaa wengine wanammendea huko nje. It seems uko mbali kihisia na mtu wako.
Mkuu niko karibu nae sanaa.ila hii ishu inanikera
 
Anakuskilizia au reaction akiona hauna sumu anavua chupi na kusuguliwa mashavu ambayo wewe unayagusagusa tu
 
Au ndo analiwa ila anampanga tu jamaa asishtuke
Yani wakisema ivyo shtuka sana, asilimia kubwa wakisemaga ivyo mawili yupo kwenye mpango wa kumkubalia huyo mtu au tayari anadinywa sasa anajiami ili usiwe na wasi nae

Anakwambia tu ili umuamini,usiwe na wasi wasi nae wala usiwe na attention nae juu ya hilo swala kwamba mpk amekwambia ivyo basi umuamini kwamba anaweza kumudu kumkwepa huyo mtu,sasa wewe ukishamuamini ivyo yeye kule anapitisha mipango analiwa bila wasi na wewe bila kujua kitu coz tayari ushamuamini kwasababu alikwambia kuwa anatongozwa..wanawake ni [emoji205] sana mzee [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Kuna baadhi ya wanawake wako hivyo ila la muhimu ni kumpiga [emoji113] na kumuambia iwapo kila atakae kutongoza unaniambia basi ntagombana na mji mzima
Maana wewe ni mwanamke na wengi watakutongoza

Mwambie pambana na hali yako usiniambie mimi tena
 
ukiona dem anakwambia hivyo jua hana interest nao sana,wale anaowakubali hakwambii. nina experience ya manzi mmoja alikuwa ananiambia wote wanaomtokea ila waliopiga hakuwahi hata kugusia, nilikuja kugundua baadae wana tuliokuwa tunashea.
True..[emoji817]
 
Back
Top Bottom