Oy dem akikwambia ishu izo kaloge ataliwa kweli huyo...haki nakwambiaJuzi kaniambia mwanasheria wa kampuni yao anamtongoza akanitumia na screenshot ya meseji na hio sio mara ya kwanza kuniambia nadhani ni ya nne wahusika wakiwa tofauti tofauti
Sasa najiuliza hiv huyu dem ananambia hivi ili iweje??anataka nikampge huyo anaemtongoza?au ananitambia tu ili kutishana tishana
Je akitongozwa na crush wake ataniambia?
Hivi viumbe vina mambo mengi
Mwanamke n kiumbe asiyeeleweka, hapo anajenga uaminifu kwako Ili hata akiliwa usiamini kama kweli kafanya kitendo hiko. Ukimuamini mwanamke kwa 100% ujuwe umeumia.Mkuu niko karibu nae sanaa.ila hii ishu inanikera
Au ndo analiwa ila anampanga tu jamaa asishtukeOy dem akikwambia ishu izo kaloge ataliwa kweli huyo...haki nakwambia
Yani wakisema ivyo shtuka sana, asilimia kubwa wakisemaga ivyo mawili yupo kwenye mpango wa kumkubalia huyo mtu au tayari anadinywa sasa anajiami ili usiwe na wasi naeAu ndo analiwa ila anampanga tu jamaa asishtuke
Na wewe mwambie unatongozwa na house girl alafu uone atakavyo react
True..[emoji817]ukiona dem anakwambia hivyo jua hana interest nao sana,wale anaowakubali hakwambii. nina experience ya manzi mmoja alikuwa ananiambia wote wanaomtokea ila waliopiga hakuwahi hata kugusia, nilikuja kugundua baadae wana tuliokuwa tunashea.