Njoo nikuoe wewe mbona unakuwa na kiherehere kama unatafuta mume njoo nikuoe wewe kama unaona nafaidika sanaKila siku hao wanawake wanakuzingua wewe tu
Kiufupi ni kwamba anakuuzia nyapu indirectly shtuka"Yaani wanawake tunataka hela, twende mbele turudi nyuma tunataka hapa huku akipigisha vidole kama anahesabu hela"
Huo ndo ukweli mkuu, wanawake wanajali vitu sana kuliko utu. Mapenzi hamna siku hizi ni utapeli tu.Katika maongezi na shemeji yenu amefunguka kuniambia
"Yaani wanawake tunataka hela, twende mbele turudi nyuma tunataka hapa huku akipigisha vidole kama anahesabu hela"
Maoni Yangu Naona ni sawa kumuhudumia mwanamke ila si sawa yeye kusema wanawake tunataka hela Naona kama ni makosa makubwa.
Karibuni
Valentine day IFUTWE haina maana kwa kizazi cha leo.Katika maongezi na shemeji yenu amefunguka kuniambia
"Yaani wanawake tunataka hela, twende mbele turudi nyuma tunataka hapa huku akipigisha vidole kama anahesabu hela"
Maoni Yangu Naona ni sawa kumuhudumia mwanamke ila si sawa yeye kusema wanawake tunataka hela Naona kama ni makosa makubwa.
Karibuni
Nakuja unioeNjoo nikuoe wewe mbona unakuwa na kiherehere kama unatafuta mume njoo nikuoe wewe kama unaona nafaidika sana