Mpenzi wangu amenisaliti.

Mpenzi wangu amenisaliti.

Joined
Jan 30, 2014
Posts
34
Reaction score
1
girlfriend yangu amefanya mapenzi na rafiki yangu wa karibu,inaniuma sana,je nifanye nini? naomba ushauri.
 
Just leave her, leave her and move on with your life!!
Muache, tuliza akili, tafuta pesa...then tafuta mwingine weka ndani moja kwa moja..Ila jiulize, wapi ulishindwa, wapi ulikosea.. wadada wanapenda pesa, wanapenda "game" za uhakika, acha kula zege, kula vyakula vyenye lishe ili ukisimamia kucha...asitamani kutoka na rafikiyo.
 
pole bt wat u have to do first ni kurelax coz ukiwa mtu wa mawazo haitakusaidia,pili ukiwa unajiumiza kwa mawazo unatakiwa ujiulize unamkomoa nan? tatu na mwisho unatakiwa ujue huyo c wako tena wala haina haja ya kujiumiza
 
pole sana mkuu huyo mpenzi wako hayuko makini halafu sio mwaminifu inabidi umuangalie kwa jicho la tatu aisee
 
girlfriend yangu amefanya mapenzi na rafiki yangu wa karibu,inaniuma sana,je nifanye nini? naomba ushauri.

kwanini ilikuuma???

kwani ulikuwa na malengo gani maishani na yeye?

jaribu ku-install fire alarm kunako papuchi kumlinda...

akiguswa tu.. unapata notification..
 
girlfriend yangu amefanya mapenzi na rafiki yangu wa karibu,inaniuma sana,je nifanye nini? naomba ushauri.

kwanza ni vizuri upo online, mimi nakushauri kwanza tambua kuwa huyo hafai kuwa mkeo.... Pili kama inafaa endelea kula mzigo kujipooza kimtindo wakati ukiwa unatafuta mwingine na kumsahau taratibu, akiomba msamaha fanya kama umemsamehe ili uwe unakula mzgo huku unatafuta mwngine...... trust me it sound crazy but it works... inasaidia kupunguza hayo maumivu ulionayo, pole sana ndo wanawake wa siku hizi walivyo wanaendeshwa na hisia tu hawatumii akili
 
kwanini ilikuuma???

kwani ulikuwa na malengo gani maishani na yeye?

jaribu ku-install fire alarm kunako papuchi kumlinda...

akiguswa tu.. unapata notification..

ha! ha! vp we wako umemwekea hako ka alarm?
 
ni mpenzi YAKO au WAKO?ushauri ni kuwa geuka kuwa shoga ili umkomoe maana hata ukipata dem mwingine nae akikutenda utakuja tena kutaka ushauri...suluhisho na wewe kapakuliwe
 
Back
Top Bottom