Mbishi 4 real
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 640
- 651
Heshima kwenu washikadau
Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za hivi karibuni amekua tukunyema sababu ya kupenda kufakamia misosi.
Yani huwa haipiti siku bila kunitumia picha za misosi anayokula pindi tunapowasiliana kupitia WhatsApp tena kibaya zaidi ni vile vyakula kunenepesha mwili.
Nimejaribu kumshauri kwamba awe anakula na vyakula vya aina flani ili mwili usifutuke kiasi cha kupoteza mvuto lakini wapi, huwa anasikiliza lakini baada ya siku mbili anarudia yaleyale.
Imefikia hatua mpaka nataka kumuacha mana naona kama anapoelekea itafikia hatua nitashindwa hata kuongozana nae.
Kuna yeyote humu amewahi kutana na changamoto kama hii na je aliitatua vipi katika kunusuru mahusiano?
Nina mpenzi wangu ambae tupo kwenye mahusiano kwa muda wa mwaka mmoja na nusu, huyu binti wakati naanza nae mahusiano alikua na mwili ambao ni standard lakini kwa siku za hivi karibuni amekua tukunyema sababu ya kupenda kufakamia misosi.
Yani huwa haipiti siku bila kunitumia picha za misosi anayokula pindi tunapowasiliana kupitia WhatsApp tena kibaya zaidi ni vile vyakula kunenepesha mwili.
Nimejaribu kumshauri kwamba awe anakula na vyakula vya aina flani ili mwili usifutuke kiasi cha kupoteza mvuto lakini wapi, huwa anasikiliza lakini baada ya siku mbili anarudia yaleyale.
Imefikia hatua mpaka nataka kumuacha mana naona kama anapoelekea itafikia hatua nitashindwa hata kuongozana nae.
Kuna yeyote humu amewahi kutana na changamoto kama hii na je aliitatua vipi katika kunusuru mahusiano?