Mpenzi wangu amepoteza mvuto

Mkuu acha hizo umemchafua mtoto wa watu alafu Leo unajifanya mwili umechange daaa Kuna wengine hukumu zenu itakuwa ni kuchomwa na mkaa wa mpingo dadek
 
Yaani wee kunguru baada ya kumtumia mtoto wa watu takribani mwaka mmoja na nusu eti leo hii unataka kumuacha kisa yee ameanza kuwa bonge

Haki ya nani kuna watu wanajua kuchezea watoto wa watu
 
Mwambie vile unapenda awe na umsaidie/shirikiana nae kwenye kila hatua za kumfanya vile unataka awe.

Alafu acha utoto wa kuingia kwenye mahusiano ili kufurahisha watu, utashindwaje kuongozana na mpenzi wako kisa unene? Kwan atakuwa anakubana njiani?
 
Mtu anayewadanganya wanawake zetu kuwa wakinenepeana wakawa na manyamanyama ndo wanakuwa wazuri hakika apigwe risasi hadharani[emoji35][emoji35][emoji35]

Naona siku hizi imekuwa fashion na wanajiamini kbs mixer kudharau wenzao huko mitandaoni.

Itoshe kusema kila mtu na chaguo lake
 
Mi niliilisolve tatzo hili kwa kuwagawia namba ya simu wadau ili kunisaidia kazi ya kumkondesha
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…