Mpenzi wangu anafunga ndoa June!

a gal

Member
Joined
Mar 18, 2012
Posts
17
Reaction score
0
jaman nisaidien,mpenz wangu anafunga ndoa june,mwanzon aliniambia alikuwa na mtu wameachana coz hawakuwa na maelewano na walikuwa mbali mbali,nilimkubali badae akaniambia amekuja kuomba msamaha wamerudiana, nampenda huyu kaka mpaka nakondo na anaoa june,nisaidien nifanyeje?
 

dah....nakuelewa jinsi unafeel...
well....huna la kufanya zaidi ya kukubali ukweli na kuendelea na maisha mapya.....
 
Kubali ukweli coz it seems the guy is honest to you na anakupenda ila kamchagua yule aliyemzoea, we ukiweza mpe na mchango na uwe mwanakamati. Huwezi kujua mungu kakupangia nini maishani.
 
Inaelekea huyo kaka hakuwa na mapenzi ya dhati kwako....alikuwa na wewe kwa kupunguza msongo wa mawazo tu. Pole sana ndugu yangu,
 
dah....nakuelewa jinsi unafeel...
well....huna la kufanya zaidi ya kukubali ukweli na kuendelea na maisha mapya.....
hakuna ushauri mwingine mzuri zaidi ya juu dada preta alokupatia
 
Pole sana it hurts bt huna jinc zaid ya kulet him go,may be Mungu hakupanga awe mumeo and it seems alikua na wew kupunguza stress 2 hakua na real lv,jst pray God wil give u the right man
 
Me mpenzi wangu Ameolewa jana na nimejua jumatano iliyopita.., nakushauri anza kumsahau sasa maana mimi hapa ni uanaume (Ugumu) tu ndo unanipa strength ya kuandika hapa. It's painful for ril :.:crying:
 
Let him go,your destin is not attached on him!
 
Mshukuru Mungu kuwa amekuacha, upate wako uliyeandikiwa na Mungu! Hebu tulia umuombe Mungu, huyo angeweza kukuoa na kukutesa na nyumba ndogo hadi ushangae!
 
kila jambo lina makusudi chini yajua,badala yakulalamika we mshukuru Mungu hujui kakuepusha nanini.
 
Hyo yako mbona cha mtoto,me wangu kaolewa ijumaa ilyopita,na nimeona nkifkria sana naweza kufa kwa presha bure!we tulia zako,yupo alie andaliwa kwa ajili yako.
 
pole, huna la kufanya maisha yanasonga mbele.
 
Ujasiri sio kwenda vitani tu, kukubaliana na ukweli usioupenda pia ni zaidi ya ujasiri. Kuwa jasiri.
 
Hiyo ni Ajali kazini ....
Na wewe mrejee wako wa Zamani muambie Akuoe kabisa.. A_Girl...

Kama Akikataa Anzisha Thread Hapa Kuwa Unahitaji mume Tatizo lako litaisha na Kumsahau huyo Mpenzi wako wa Ajali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…