jaman nisaidien,mpenz wangu anafunga ndoa june,mwanzon aliniambia alikuwa na mtu wameachana coz hawakuwa na maelewano na walikuwa mbali mbali,nilimkubali badae akaniambia amekuja kuomba msamaha wamerudiana, nampenda huyu kaka mpaka nakondo na anaoa june,nisaidien nifanyeje?
hakuna ushauri mwingine mzuri zaidi ya juu dada preta alokupatiadah....nakuelewa jinsi unafeel...
well....huna la kufanya zaidi ya kukubali ukweli na kuendelea na maisha mapya.....
dah duniani kuna matukio poleni sana hii sread tu nimeona waathirika wa janga hili mko watatu,mungu awasimamie na kuwapa nguvu