Mpenzi wangu anakosa ute wakati wa tendo ushauri wako tafadhali

Mpenzi wangu anakosa ute wakati wa tendo ushauri wako tafadhali

Hii mbinu nlitumia kwa demu wangu flani ye hanaga ham ya mapenz anaeza kaa bila kufanya hata miez mitatu, mpaka nimuombe nikaona sio issue alipata kagonjwa uchwara nikamwambia dawa ni huo mchanganyiko






Kesho alfajir kaja gheto kuomba mechi



Wanaume mungu atusamehe nilijua atafikia hapo hivo nilipanga nisifanye nae ili aone matatizo nilopata nlipokua na ham nae





Baada ya kuanza kulialia ilibid nimuhurumie na kumpa pens matata
Si mchezo
 
Ale nyanya chungu na ndizi hasa zile zinazotokea bukoba
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] kama kanda zipi ni semi arid
Ukanda wa kasikazini kitu "mtera" ni adimu sana, japo makadirio yanaweza kuwa na mabadiko kidogo (kama wanavyosemaga jamaa zetu wa hali ya hewa)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Ukanda wa kasikazini kitu "mtera" ni adimu sana, japo makadirio yanaweza kuwa na mabadiko kidogo (kama wanavyosemaga jamaa zetu wa hali ya hewa)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Sio kwa sababu yakula ndizi kwa wingi labda ndo sababu aisee
 
Ukanda wa kasikazini kitu "mtera" ni adimu sana, japo makadirio yanaweza kuwa na mabadiko kidogo (kama wanavyosemaga jamaa zetu wa hali ya hewa)[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Na yeye ni kaskazini boss
 
Hakuna jinsi Mkuu ni kutumia KY au kuongeza uwezekano wa michubuko na labda yeye kutofurahia/kutoenjoy mgegedo

Duuuuu sitaki kutumia vilainishi bandia boss
 
Hakuna jinsi Mkuu ni kutumia KY au kuongeza uwezekano wa michubuko na labda yeye kutofurahia/kutoenjoy mgegedo
Mgegedo huwa hainjoi kabisa toka aanze kukosa ute
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom